Mama anapowahi simu yake

Mama anapowahi simu yake

Bishop Hiluka

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
7,147
Reaction score
14,699
Mtoto kampigia simu mama ofisini kwake kwenye simu ya ofisi, baada ya mama kusahau simu yake nyumbani.

Mtoto: Mama uwahi kurudi nyumban leo mapema
Mama: Siwezi kuwahi kurudi mwanangu nina baiskeli leo nipo taratibu, kwani kuna nini?
Mtoto: baba anafungua Whatsapp yako huku...

Matokeo yake yakawa hivi
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
 

Attachments

Back
Top Bottom