Nami pia niliangalia kipindi chote. Jana ilikuwa ni marudio, kilisharushwa kabla. Hata hivyo si vibaya kikirudiwa tena na tena maana kina mengi ya kujifunza. Hongera sana Mama Anne.
Nimejifunza mengi km:
-Kutokata tamaa. Meli ya ndoa inapoyumba, usikae chini na kulia. Simama imara, weka mwelekeo, chukua hatua, songa mbele .....mwisho wake ni mafanikio!
-It's never too late to learn.
-One can get a life partner at any age.
-Kutimiza wajibu hakuhitaji mshirika, just play your part.
-Ni muhimu kwa wanandoa kuwa marafiki.
-It's better to be alone than in ill-company.
Hayo ni machache kati ya yale niliyojifunza. Pengine tunayajua lakini tunahitaji kukumbushwa kama vile alivyotukumbusha Mama Anne, Asante sana.