Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Afande kua mvumilivuUnahitaji ban et. Kwahiyo me mwanamke
Hayo yote ni masharti ya kupata utajiri, kutoka kwa waganga wakinyeji, ndugu zetu punguzeni tamaa za pesa.Wachaga wanamamo ya hovyo sana,ila serikali ndo hovyooo kabsaa kama mchuzi wa Jogoo.
🤣jinga sana hiloHiyo Channel yako atafuatilia mumeo.
We huna tofauti na haoHii taarifa bila ka video walivyokua wanafanya basi ni umbea na unafiki
Kila jamii ina baadhi ya watu wasiokuwa na maadili.Wachaga wanamamo ya hovyo sana,ila serikali ndo hovyooo kabsaa kama mchuzi wa Jogoo.
huu utaratibu wa kutupa habari nusu halafu mnatuambia kwa habari zaidi fuatilia chanel fulani. mmeutoa wapi? nani anahuo muda kwanza. hebu tulia andik habari kikamilifu ndio utuletee hapa.Kutoka Mkoa wa kilimanjaro (kamanda wa polisi (Simon Maigwa) amethibitisha kutokea kwa tukio hilo jambo ambalo limewashangaza watu wengi.
View attachment 2580033
Mama aliyekuw akitoka na mwanae ameaga dunia na kumuacha mtoto wake baada ya kupewa dhamana alipata presha ndipo aliopoteza maisha.
kamanda (Maigwa amekiri kutokea kwa tukio hilo nakusema Mama ndo alikuwa na kosa maana ndiye aliyekuwa akimlazimisha mwanae.
mwanae yuko chini ya umri wa miaka 18+ kwa taarifa zaidi fuatilia chanel ya Kimodomsafi
Kivipi Mkuu!??JamiiForums kuna angle mnakwama.