Mama atembea na mwanaye wa kumzaa!

Bila kuiona hyo video itakuwa huyo mama kaamua kutafuta attention za wanadam tu
 
Huyu ni mdada wa Ghana hii interview ni ya muda kidogo
 

Wee muache, hata shetani anashangaa na anawaogopa na kuwakimbia binadamu wengine, maana anaona hata yeye shetani hawezi fanya hiyo dhambi.
 
Andiko halimhusu huyo dada wa Ghana mkuu. Huyo dada ametumika supporting attachment kwenye story hii iliyotokea hapa bongo. Hebu rudia tena kusoma uzi utaelewa.
Ujumbe hukuainisha kuhusu video na maudhui yako ndiomana nikajita huko
 
Wee muache, hata shetani anashangaa na anawaogopa na kuwakimbia binadamu wengine, maana anaona hata yeye shetani hawezi fanya hiyo dhambi.
Kwa kweli huyu mama anafanya dhambi kubwa sana. Huyu hata atubuje motoni kunamhusu tu......lazima apigwe moto.
 
Haya mambo yalikuwepo siku nyingi ila sasa yako wazi kwa ajili ya utanda wazi
 
Ujumbe hukuainisha kuhusu video na maudhui yako ndiomana nikajita huko
Umesoma vibaya mkuu. Ujumbe kwenye uzi ni huu hapa:
Wakati nilipopokea video hii (tazama hapo chini) kwenye kundi sogozi nilidhani mambo haya hufanywa na wazungu tu kwa kuwa wao wamepinda sana ukilinganisha na waswahili.

Nilikuwa najidanganya sana hadi niliposimuliwa kisa kimoja na mwanadada mtanzania kuhusu mama kuingiliwa na mwanaye.
 
Kusema kweli kama humu JF kuna mama anayegegedwa na mwanaye au baba anayemgegeda binti yake akae akijua kwamba siku ya kiama hakuna kujitetea. Lazima ataingia motoni tu. Mungu anachoshwa sana na uchafu huu unaofanywa na wanadamu aliowapa uwezo wa kutambua mema na mabaya.
 
Hapa Kuna mtu anasemwa ila imetumika fasihi
NB;nasikia sikuhizi bongo Kuna sheikh Mansoor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…