Mama atembea na mwanaye wa kumzaa!

Embu muangalie usoni macho yake na anachokisema havina uwiano, hii ni attention tuπŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu huyo mwanamke anayeongea hapo sio ninayemzungumzia kwenye uzi huu. Huyo ametumika kama supporting attachment. Mada hii inahusu mama halisi wa kibongo aliyeamua kugawa uchi kwa mwanaye bila hiyana.
 
Hakika. Atakuwa na mastress yake ya kinyege ameamua kuyatua kwa mwanaye. Aibu sana aisee!
Sisi kikwetu mtoto ukolelewa na mama tu ili hali baba yu hai unadharaulika sana. Unaitwa umekulia kwenye kishimbe. Kumbe waliyajua madhara ya kulelewa ma mama pekee
 
Mkuu huyo mwanamke anayeongea hapo sio ninayemzungumzia kwenye uzi huu. Huyo ametumika kama supporting attachment. Mada hii inahusu mama halisi wa kibongo aliyeamua kugawa uchi kwa mwanaye bila hiyana.
Anhaa sikukuelewa mkuu, daah aseee hii ni hatari. MUNGU aturehemuπŸ™πŸ™
 
Labda lile tulip la yule mama wa Moshi aliyetembea na mwanae....baadae akafa kwa mshituko,Hiyo video ya nini kama huyo DD sio muhusika na ni Lafudhi ya kiNigeria.
 
Kweli kabisa mkuu. Tumetoka kwenye masuala ya ushoga, tumeanza kutembea na mama zetu. Nchi hii imelaaniwa sio bure.
Hiyo sio hapa bnana!!muwe mnnafuatilia habari nzima kabla ya kuchangia!!hiyo ni ya NIGERIA
Kweli kabisa mkuu. Tumetoka kwenye masuala ya ushoga, tumeanza kutembea na mama zetu. Nchi hii imelaaniwa sio bure.
 
Fanya mambo yako babu unatumia nguvu kubwa kwenye mambo yasiyo kuhusu
 
Na hili nalo lilikuja na ziara ya Kamala Harris??
Mbna amesema hapo juu, alidhani lipo huko kwa Biden tyuuh, kumbe hadi kwa mtogole limeshamiri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza tuwie radhi waislamu , futa hiyi kauli yako ya kwamba ndoa za mama na mwanaye au dada na kaka yake zinafungwa miskitini ulishaona wapi?

Allah (the only One suppose to be worshiped) ameweka wazi wale ambao wanafaa kuolewa na kwenda kinyume na hayo ni kutafuta laana na ghadhabu zake .
 
Ni misikiti na makanisa ya uzunguni sio hapa Afrika mkuu.
 
Usiamini kila kitu unachosikia watu wanasema. Watu wanatafuta viewers
 
acheni kutembea na watoto wa dada wa baba yako hiyo ni laana .binamu wakike ni dada yako kabisa, na binamu wa kiume ni kaka yako kabisa muheshimu
 
Maigizo hayo.
Umri wa mwanamke huyo hauwezi kutosha kuzaa kijana wa kiume aliyekomaa kuweza kumtosheleza kukidhi haja zake za kingono.
 
Tanzania yapo sana sema watu wanaficha hayatoki kwenye media

Kuna koo zinakaa nazo tu
 
Tanzania yapo sana sema watu wanaficha hayatoki kwenye media

Kuna koo zinakaa nazo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…