Mama Chatanda ashiriki msiba wa askofu Gachuma

Mama Chatanda ashiriki msiba wa askofu Gachuma

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) akiwa na Ndg. Issa Haji ussi Gavu Katibu wa NEC- Oganaizesheni na mlezi wa Jumuiya za CCM pamoja na Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi wameweka shada la Maua katika kabuli la Hayati Askofu Fransica Mwita Gachuma mke wa Ndg. Christopher Mwita Gachuma Mjumbe Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi.

Hayati Fransisca Gachuma alifariki tarehe 23.03.2024 na alizikwa tarehe 30.03.2024 Bukenye Komaswa Tarime (Kwa Gachuma). Katika uhai wake alikuwa Askofu wa Kanisa la New Life Gospel-Jimbo la Mara Kaskazini ambapo alisimikwa daraja la Askofu tarehe 1.10.2023.

📍TARIME-MARA
🗓️ 30/03/2024

#UWTImara
#JeshiLaMamaSamia
#KaziIendelee
 

Attachments

  • IMG-20240331-WA0046.jpg
    IMG-20240331-WA0046.jpg
    137.6 KB · Views: 8
  • IMG-20240331-WA0045.jpg
    IMG-20240331-WA0045.jpg
    123.6 KB · Views: 8
  • IMG-20240331-WA0048.jpg
    IMG-20240331-WA0048.jpg
    147.6 KB · Views: 8
  • IMG-20240331-WA0047.jpg
    IMG-20240331-WA0047.jpg
    143.3 KB · Views: 9
Huyo aliyefariki ni marehemu sio hayati, hapa bongo mahayati wanahesabika na tarime haitakuja kutoa hayati
 
Back
Top Bottom