Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Enzi zako zimeshapita,makunyanzi mpaka kwenye makalio,mavu** yananyonyoka tu yenyewe,waache watoto wazuri kama kina mobeto wale maisha najua ni wivu tu unakusumbua kakuzidi urembo huku wewe ukijiangalia unajikuta unafanana na harmorapa

Niambie how much that bitch is paying you , I will pay ten times , najua ni njaa na umaskin ndo unawaponza, elimu hamna na mmetoka familia zinanuka umaskin kazi kushoboka na familia za watu mbwa nyie , stay on your league bitch , mxieew
 
Enzi zako zimeshapita,makunyanzi mpaka kwenye makalio,mavu** yananyonyoka tu yenyewe,waache watoto wazuri kama kina mobeto wale maisha najua ni wivu tu unakusumbua kakuzidi urembo huku wewe ukijiangalia unajikuta unafanana na harmorapa
Santeeeeee😂😂😂
 
😬😬😬 we ni kiboko kama sio koboko 😂😂
Hahaha kwanini?,nafanya utafiti iwapo mtu anayawapaka wenzie kinyesi na yeye akipakwa kinyesi anachukia au vipi,nimepata jibu kuna sehemu si unaona kaniita mbwa.Ni mpumbavu sana huyu anaona yeye ndio anastahili kuwapaka wenzake mavi huku yeye akiwa hataki kupakwa uharo.Kwanini mtu amchukie mwenzake kiasi kile.
 
Inawezekana hamisa alimkosea yule mama kitu ambacho yule mama hajakisahau bado. Kwanini amchukie kiasi hicho. Cha muhimu afuate ushauri wako sio lazima kung'ang'ana na hiyo familia. Aache uruba
 
Mada inamuhusu hamisa na mama dangote, zari katokea wapi?? Kasifiwa lulu hapo lakini umekazana na zari. Je wewe hauko obsessed na zari?
 
Mada inamuhusu hamisa na mama dangote, zari katokea wapi?? Kasifiwa lulu hapo lakini umekazana na zari. Je wewe hauko obsessed na zari?

Anatafuta Kiki binamu huyo , mpotezeen maskin wa akili , Hana hadhi ya kubishana na mimi chokoraa huyo
 
Inawezekana hamisa alimkosea yule mama kitu ambacho yule mama hajakisahau bado. Kwanini amchukie kiasi hicho. Cha muhimu afuate ushauri wako sio lazima kung'ang'ana na hiyo familia. Aache uruba

Yani anajiaibisha, hakuna kitu nachukia kama umaskini na ujinga, ndivyo vinavyomsumbua hamisa na kukosa elimu , anatia huruma kutwa anakanwa

Mbona zari katulia tu na maisha yake , tena yeye Ndo anashobokewa hashoboki, shida hii mbwa ya temeke yenye shida mpaka kwapan kutwa kujipendekeza mxieww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…