Mama Dangote confirms her breakup with Uncle Shamte

Huyu tajiri namba moja wa afrika kutoka nigeria anajua jina lake linachafuliwa huku bongo?`
 
Watoto waliokulia Tandare maadili ni zero huyo Diamond nae alikuwa anapenda mama ake kutoka na kiben 10 eti ale bata kateseka sana mamaa'ke nikajua familia za kiswahili ni shida yaani unamsapoti mama ako mzazi kupigwa puchi na vijana rika lako kweli???
 
Labda DomonDI anataka aachie Single kwahiyo wameandaa KIKI.
 
Ukizoea kulelewa ni sheedah,Shamte hana jeuri ya kuachana na mama Mond.
 
https://jamii.app/JFUserGuide Tz... a country
with alot if hoez and bitchass homies


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu mama angechukua watoto yatima wawili au watatu, awalee, awasomeshe English Medium.Asubuhi awadrop shule, mchana awachukue. Wakiugua kuwapeleka hospitali.

Kwakua anapenda attention apost Insta jinsi anavuoishi na hao watoto. Atakua na followers wa kumwaga.
 
Mmmmh
 
tatizo hela.

naomba nieleweke mkuu.
 
Shmt,hawez toka hpo
Jamaa ni supermarioo
Sasa amepata line hiyo
Unafikiti ataichezea

Ova
si nilisikiaga jamaa ni push gang,pamoja na huyo salama kipara wakujiita mende??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…