joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hana wasi naona yeye kazi yake kula miogo mibichi, karanga, nazi zile mbata na Alkasus, ili a-maintain pumzi na ubunifu kitandani.S. Tangia anauza mitumba ya madem
Zamani alikuwa Mario,alikuwaga na mwana mmja namjua michongo yao ilikuwa hiyo hiyo
Ya kudeal na wamama watereze, sasa kwa connection hii aliyoipata unafikiri ataliachia tawi
Kweli
Ova
Ah kabisaHana wasi naona yeye kazi yake kula miogo mibichi, karanga, nazi zile mbata na Alkasus, ili a-maintain pumzi ubunifu kitandani.
Wewe Jamaa Noma Sana Yaani Umesiriba Kote!! Haa Comment Chachu Kama Embe MbichiHamna lolote jamaa alikuwa anavumia tuu ila mama hana mvuto. Njaa mbaya jamani hahahha
Msingi Kiuno MjiniAh kabisa
Ova
π€£π€£π€£π€£Huyu tajiri namba moja wa afrika kutoka nigeria anajua jina lake linachafuliwa huku bongo?`
Anko unadhani hataki pesa?Kisa nini??
Sent using Samsung S6 Edge
Kuna siku Mama Dangote kapost gari Instagram halafu yeye akaenda kucoment "gari yetu ".Anko shamte hawezi kukubali kuachika pale....sii kazi rahisi.
Watu wa insta wanamuita mfugo ππKuna siku Mama Dangote kapost gari Instagram halafu yeye akaenda kucoment "gari yetu ".
Dah hata kama maisha magumu si kwa kujichoresha
ni aibu yeye ndo anafanya juu chini asiachweWatu wa insta wanamuita mfugo ππ
Sasa mtu analelewa hivo afanyeje, inabidi asifie sifie, ajikombe ili aendelee kuolewa
Anapambana asiachikeni aibu yeye ndo anafanya juu chini asiachwe