Mama Dangote na Ki Ben10 chake Shamte ndani ya Dubai

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. kadri navyozidi kuzeeka narudi kwenye mstari mwenyewe...hilo nashukuru sana sana Mungu...!mkuu gwanda ninalo ujue..tena na kadi kbs...πŸ˜‚βœŒβœŒ
πŸ˜€πŸ‘βœ¨βœ¨βœ¨
πŸŽ‰πŸ˜ŠπŸ‘πŸ˜πŸ‘πŸ˜ƒπŸŽ‰
Congratulations!Umeanza zamani ukamanda.Hongera sana.
 
Wanaume tunatofauriana sana. Unaolewaje na Mwanamke kisa pesa za mtoto wake?
Unakaa kabsa meza moja mapicha kila kona alaf uko na bibi huku kijana mwenzako ananunua vitu mnatumia kwapamoja?
 
πŸ˜€πŸ‘βœ¨βœ¨βœ¨
πŸŽ‰πŸ˜ŠπŸ‘πŸ˜πŸ‘πŸ˜ƒπŸŽ‰
Congratulations!Umeanza zamani ukamanda.Hongera sana.
πŸ˜…πŸ˜…βœŒβœŒ i rem siku 1 trafik anaomba leseni nikatoa kwanza kadi yangu ya chadema akaishia kucheka😊
 
Wanaume tunatofauriana sana. Unaolewaje na Mwanamke kisa pesa za mtoto wake?
Unakaa kabsa meza moja mapicha kila kona alaf uko na bibi huku kijana mwenzako ananunua vitu mnatumia kwapamoja?


ndo mjue men r endangered species... ila hata mama dangote dish limeyumba... au la akili zimechotwa kwenye mambo ya ushirikina zaidi..mwanamke yyt mwe ye uelewa wakawaida kbs ambaye hajaenda hy shule hawez fanya upupu wa aina hii...yaan ni km mm nidange mbele ya wananguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ au nikae na danga mbele y my boysπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
ah wapi..umekariri...sidhan
Mkifikisha ule umri wa kukoma kulipa kodi kila mwezi huko chini huwa kuna waka moto hatari kutaka kusuguliwa na baadhi ya waume zenu wanakua aidha hawana hamu na nyie au nguvu kwishney
So mna tafuta dogo dogo. Wamama wengi hufanya hivyo ila kwa siri sana wewe huwezi jua hadi ufikishe huo umri uliza wamama kazini kwako
 
Duuu kweli pesa sabuni ya roho, mama alikuwa ashajizeekea kabisa lkn pesa imemtakatisha karudi kuwa binti mtamu[emoji2], ule uso na ngozi ya kujikunja pesa imeivua loooo pesa we pesa we.
 
Wazee watamu sana....acha jamaa ale na mzee huyo...... Nimekumbuka ule wimbo wa nampenda bibi kizee nampenda kikongwe....cha msingi anazamaa na kutoa dude,fresh tu japo inahitaji kujitoa akili kidogo..hehehhe
 

hahahaha yaan umri huo uwake moto umeshindwa waka moto in30's?unaujua moto wa 30's ww?sidha km kuna moto brn 50-60's..umri huo watoto wakubwa...anywys inawezekana
 
kwa hiyo diamond anamuita baba huyo muhuni!!!!
halafu nahisi huyo konyo atakuwa na porno za huyo bibi kama kinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…