Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 726
ππβ¨β¨β¨πππ.. kadri navyozidi kuzeeka narudi kwenye mstari mwenyewe...hilo nashukuru sana sana Mungu...!mkuu gwanda ninalo ujue..tena na kadi kbs...πββ
π π ββ i rem siku 1 trafik anaomba leseni nikatoa kwanza kadi yangu ya chadema akaishia kuchekaπππβ¨β¨β¨
πππππππ
Congratulations!Umeanza zamani ukamanda.Hongera sana.
Wanaume tunatofauriana sana. Unaolewaje na Mwanamke kisa pesa za mtoto wake?
Unakaa kabsa meza moja mapicha kila kona alaf uko na bibi huku kijana mwenzako ananunua vitu mnatumia kwapamoja?
Hahaa!Kweli wewe mtataaaa,yaani mtataaa!Unatoka kanda maalumu?Sasa unaingia...(Mara,Tarime)?πππ π ββ i rem siku 1 trafik anaomba leseni nikatoa kwanza kadi yangu ya chadema akaishia kuchekaπ
π π uzuri namfaham kiasβHahaa!Kweli wewe mtataaaa,yaani mtataaa!Unatoka kanda maalumu?Sasa unaingia...(Mara,Tarime)?ππ
Huyo traffic au nani umfahamuye kiasi?πππ π uzuri namfaham kiasβ
Daah familia kumbe ilikuwa pamoja hadi siku za karibuni...Mzee Abdul alikuwa si haba enzi zakehuyu mama daimond suruali hajaanza kuvaa leo mkuu, toka enzi hizo anaitwa sandra gubu
yaap si unamuona hata domo hapo kafurahi kuwa na wazazi pamojaDaah familia kumbe ilikuwa pamoja hadi siku za karibuni...Mzee Abdul alikuwa si haba enzi zake
Aiseeyaap si unamuona hata domo hapo kafurahi kuwa na wazazi pamoja
Mkifikisha ule umri wa kukoma kulipa kodi kila mwezi huko chini huwa kuna waka moto hatari kutaka kusuguliwa na baadhi ya waume zenu wanakua aidha hawana hamu na nyie au nguvu kwishneyah wapi..umekariri...sidhan
Duuu kweli pesa sabuni ya roho, mama alikuwa ashajizeekea kabisa lkn pesa imemtakatisha karudi kuwa binti mtamu[emoji2], ule uso na ngozi ya kujikunja pesa imeivua loooo pesa we pesa we.Huko insta diamond kaisafirisha familia yake nzima kwenda Dubai bila kumsahau Mr shamte kipoozeo cha mama na dangote, Na Nzi mbeba mikoba nae muuza mchele mjini hapa shogaangu Jumalokole2 nae yupo nyuma nyuma kwenye msafara huo wa bata la Dubai.
View attachment 936627
[emoji108] Ila shamte kakaangu Ivi huon aibu umemwacha mke wako Angela anateseka mtoto ww unakula bata na hela za dimond anavozitafuta kwa nguvu zote jukwaan anatoka majasho ww unameza tu kuna siku utaombwaView attachment 936622View attachment 936623
Mkifikisha ule umri wa kukoma kulipa kodi kila mwezi huko chini huwa kuna waka moto hatari kutaka kusuguliwa na baadhi ya waume zenu wanakua aidha hawana hamu na nyie au nguvu kwishney
So mna tafuta dogo dogo. Wamama wengi hufanya hivyo ila kwa siri sana wewe huwezi jua hadi ufikishe huo umri uliza wamama kazini kwako
Haahaa hilo swali lako tuSasa Wakati wa kulala Dai anajua mama anafanya na hako ka kakaπ