DuhKizazi kabetia
Teh tehWatu kibao wamezaa na hawajawahi kupewa hata Nokia ya Tochi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wake kwa waume wamejazana ndani ya swimming pool, ole wake sasa mmoja ivuke [emoji87]
aliuza cheni yake ya dhahabu aliyohongwa ili mwanae akarekodi mziki na ndio uliomtoaNjaaa Tu hizo, poor economics!! Yeye alifanya nini kumtengenezea maisha mtoto wake? Yaani mzazi unakaa unasubiria mtoto aje akutoe kimafanikio? Poor economics!!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]na mkeka umechanika
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] duhKizazi kabetia
Usimwite mama wa mwenzio hovyo.Wewe una mama au ulidondoka tu?Heshimu mzazi wa mwenzioHuyo mama hovyo sana
He unaishi wapi huijui Historia ya Diamond. tatizo sina muda wa kukuelezea!Njaaa Tu hizo, poor economics!! Yeye alifanya nini kumtengenezea maisha mtoto wake? Yaani mzazi unakaa unasubiria mtoto aje akutoe kimafanikio? Poor economics!!
Unaijua kazi yake zamani?Huyu mama angeolewa tu, haya yote yasingemsumbua yakushindana na mke wa mtoto wake na mjukuu. Kituko anaongelea maneno kwa kusimamia ni yake duh ana tamaa sana huyu mwanamke, angesema jina la nani basi as naamini sio lake. kituko haswaaaa
Diamond alishasemaga kwa kumuuliza Tiffah akirekodi video kama anapenda nyumba yake?