OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mama wa kiungo wa Yanga SC Feisali Salum amezidi kutema nyongo kuhusu maisha ya kiungo huyo akiwa kwenye klabu hiyo ya Jangwani/Twiga.
π Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC
π Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
π Kumbe Feitoto akiwa Yanga alikuwa bado anaomba hela ya kula home! Huo mshahara alikuwa anapata kweli?
Angalia video zote 2 umsikie Bi-maza akielezea mambo machache kati ya mengi.
Leo ndiyo marejeo ya shauri la Feisali Vs Yanga SC pale Karume zilipo ofisi za TFF majira ya saa 4 asubuhi hii.
NB: Wale waliongea na wapenzi na mashabiki wa Yanga pale Mbagala Zakhiem wakatoa ahadi ya marejeo ya klabuni waliongea na nani?
π Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC
π Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
π Kumbe Feitoto akiwa Yanga alikuwa bado anaomba hela ya kula home! Huo mshahara alikuwa anapata kweli?
Angalia video zote 2 umsikie Bi-maza akielezea mambo machache kati ya mengi.
Leo ndiyo marejeo ya shauri la Feisali Vs Yanga SC pale Karume zilipo ofisi za TFF majira ya saa 4 asubuhi hii.
NB: Wale waliongea na wapenzi na mashabiki wa Yanga pale Mbagala Zakhiem wakatoa ahadi ya marejeo ya klabuni waliongea na nani?