Mama Hamisa asema anataka mwanae aolewe na Mzungu, Waafrika hawafai

Huyu mama anawajua wazungu wangapi?

Kashakutana na Applachian trail trailer park white trash?
 
Mama ameona wanaume wa kiafrika yaani ngozi nyeusi zina longolongo sana katika mapenzi yaani hawan msimamo ni wababaishaji tu
 
Anataka Mwanae atumbukizwe Dudu kwenye Kila tundu iliyopo mwilini mwake
 
Yaani Tz, mtoto akipata umaarufu kidogo tu; mama zao nao wanafuata!

Karibia naye mtasikia ana kiben 10, si bure.

Mawazo takataka kabisa.
Naona huyo mama hana mume mwafrika.
Hamisa, baba yake ni mzungu bila shaka.
Mama nae muuzaji kitambo
 
Huyo mama hana exposure ndio maana anaongea hayo. Akiangalia The Jeremy Kyle show ndio ataelewa vizuri kuwa hajawajua vizuri hao jamaa.

[HASHTAG]#sky eclat[/HASHTAG]

 
Ndo kaangukia kwa dai tayarii mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…