Mama Hamisa asema anataka mwanae aolewe na Mzungu, Waafrika hawafai

Ampe tender Mangi Kimambe, atamtafutia kibabu cha kutoka Bulgaria
 
Ukoloni hautokaa uishe.. Lakini pia this is another bullshit thinking from African women... Kumbe huyu mama ana mawazo kimo cha mbilikimo kiasi hiki... Anasifia uzuri wa mwanae hajui hujafa hujaumbika!?
Na angemjua mzungu ni nani katika uhalisia wake asingehara kiasi hiki
 
Yaani Tz, mtoto akipata umaarufu kidogo tu; mama zao nao wanafuata!

Karibia naye mtasikia ana kiben 10, si bure.

Mawazo takataka kabisa.
Naona huyo mama hana mume mwafrika.
Hamisa, baba yake ni mzungu bila shaka.
Basi tu nimekuwa mtu mzima sasa... Ningemtokea huyo nimpe habari yake kwa vitendo
 
Na mwanae sio mzuri jamani
 
Anamuona mtoto wake ameishakuwa kipolo anaanza kujifanya anataka wazungu yeye asubirie tu na mjukuu wa 3 huku mwanae bado akiwa nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…