Mama Joyce Ndalichako:


ndio maana hata mikataba kati ya serikali na wawekezaji mnafichwa kwa sababu ya huo usiri unaoutaka! hivi kwa mfano mtoto wa jk angepata div1 ungemuomba Ndalichako atoe matokeo kwa namba ili watu wasiwe wanaona div1 za watu? siku nyingine utasema hata shule ziandikwe kwa namba tu ili kuficha siri za hizo shule! umenikera.....:smash:
 

Haya mambo ya kufichaficha ndiyo maana na nchi inakwenda hayahaya ya natural justice, matokeo ya mtihani sidhani kama ni siri kiasi hicho,mwisho wa siku inakuwa suala la umma. Katika hili la mtoto wa JK acha wamjadili hayo ndiyo matunda ya ubinafsi.
 
kwa mwendo huu... Inawezekana kabisa bajeti ya kumsafisha Mwanaasha imeshategwa!!:smash:
 
Sijakupata vizuri....
una maana yakiwa mazuri waweke majina na yakiwa mabaya ndo waweke namba??
mmmh sidhani kama hili ni jambo baya bali naiona kama changamoto.
Watanzania tupende kuukubali ukweli hata kama unauma kiasi gani ili itusaidie kubadilika
 

Nimekwambia wewe unabishana na hasira. Nimekwambia personal privacy na sio public privacy. Shule ni public, lakini mwanafunzi binafsi sio public information.
 
Hilo mbona lipo siku nyingi tu. Lakini mfikirie wasio na uwezo wa kutumia simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…