Mama Kanumba; Siwezi kumchukia Wema kwa kwenda kumuangalia Lulu gerezani

ObieTrice

Senior Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
159
Reaction score
154
Mama kanumba afunguka Jinsi Wema Sepetu alivyofaa kuolewa na kanumba kwa kuwa alikuwa mstaarabu na alikuwa akivaa kiheshima sana alipokuwa akimtembelea. shilawadu walimuuliza atajisikiaje wema sepetu akimtembelea Lulu gerezani?.

 
Mama kanumba afunguka Jinsi Wema Sepetu alivyofaa kuolewa na kanumba kwa kuwa alikuwa mstaarabu na alikuwa akivaa kiheshima sana alipokuwa akimtembelea. shilawadu walimuuliza atajisikiaje wema sepetu akimtembelea Lulu gerezani?.

sawa mama
 
Hii SHILAWADU ni kazi ya kibwege sana.
 
Huyu mama anachofanya ni kuwamiliki hawa wasanii kwa kivuli cha marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…