huyu mama nae mtu mzima hovyoooooooooo
Heheheee kwa hiyo ile skendo ya mwanae kuuliwa na kale katoto haijamsononesha.....au kwa kuwa ndo ilomleta mjini....
Bibi tulia ulee wajukuu....umaarufu Mbaya...
Ahahaha jiran yangu mbea kiama, nimekuvulia kofia aiseh khaa?? Naona skendo ya mwanae kubaka wala haijamgusa, na wewe ebu nipishe apa mbona unampa cheo asichostahili? Huo ubibi unamuita kwa mjukuu yupi?? Labda lulu, bibi bomba yule hana mjukuu hata wa kuchonga
Aaah huyu bibi bomba kazidi....kutwaa kutafuta umaarufu...angekaa angejituliza angempata hata Kingungee wastiriane..
Ila si ana mtoto wa kike mkubwa tu...Ina maana hajazaa? wajukuu anao bwana sema tu ujana anaupenda.....