Mama kijacho kukosa hamu ya kusex


nani alikutuma usitumie kondom
 
mimba ya mtoto wa kiume hiyo nais siku ukisikia anakuja utaondoka ukalale gest
 
kwani si ndiye wewe uliyetoa thread hapa

unaomba ushauri
kuna mtu amekupa mimba alafu amekutelekeza

sio wewe?
So hivo,ni kwamba alitaka nitoe preg me nikagoma and tangu hapo tuka break up even communcation hakuna btn us,but hicho si chanzo coz hiyo hali ilinianza tangu niliponasa tu ujauzito na hata kipindi tuko nae kabla hatuja break wala kuwa na kwaro nikiwa mjamzito nilikua ktk hali hii ya kutokuwa na hamu ya kusex!
 
Kama unaniongelea hivi. Hata mimi sikuwahi kuwa na hamu ya sex mwanzoni na kweli nikacheki nikakuta nina ujauzito wa mtoto wa kiume. Sasa hivi mimba ina miezi nane na wiki kadhaa hamu ya kusex ndo imekuja na baba wa mtoto tulishaachana toka mimba ikiwa na mwezi kwa sababu hizo hizo alisema nikatoe nikagoma akaondoka mpaka leo hatuna mawasiliano. Navumilia tu hamu yangu ya sasa hivi.
 

haya twambie

we wahisi ni tatizo au waona ni sawa

tuanzie hapo kwanza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaah jaman kumbe sipo peke yangu,polee mwaya jikaze tu kama umevumilia siku zote hizo huwezi shindwa palipobaki..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…