MpiganiaUhuru
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 777
- 912
Hormonal issue, kwenye damu, androgens zimekuwa nyingi kuliko estrogens/oxytocins hivyo umembeba JPM mwenyewe na sio Janeth, tulia tumsubirie.Mkuu umen quote wrong,ni kwamba sitaki kabisa dyudyu na sina hamu ya kusex hata kidogo tangu niwe mjamzito hakuna siku nimejisikia ham ya kusex feeling zimekata kabisaaa
Na illuminata piaDaaah jaman kumbe sipo peke yangu,polee mwaya jikaze tu kama umevumilia siku zote hizo huwezi shindwa palipobaki..
Naona huyo mtia preg alikuwa "anasugua" kwa fujo utadhan mtu alo na "ukame" wa nanihiii kwa takribani "vimiaka kadhaa" .......Hellow jf,kabla sijabeba ujauzito nilikua napenda sana sex yani nikifikisha mwezi or miezi sijasex hapo nakua na hamu kuliko kawaida but tangu niwe mjamzito sijisikii kabisa yani hata hamu sinaa,miezi inakatika but sitamani wala sifikirii kabisa kuhusu sex sina hamu hata kidogo,hivi ni nini hasa hupelekea hii hali maana mwanzo nilikua napenda sana but tangu ninase preg walaaa sihitaji.
C unikaribishe nije kukusaidia kuiondoa hiyo "hamu" [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama unaniongelea hivi. Hata mimi sikuwahi kuwa na hamu ya sex mwanzoni na kweli nikacheki nikakuta nina ujauzito wa mtoto wa kiume. Sasa hivi mimba ina miezi nane na wiki kadhaa hamu ya kusex ndo imekuja na baba wa mtoto tulishaachana toka mimba ikiwa na mwezi kwa sababu hizo hizo alisema nikatoe nikagoma akaondoka mpaka leo hatuna mawasiliano. Navumilia tu hamu yangu ya sasa hivi.
Wala haikuwa hivoNaona huyo mtia preg alikuwa "anasugua" kwa fujo utadhan mtu alo na "ukame" wa nanihiii kwa takribani "vimiaka kadhaa" .......
So badala ya "KUPAGAWISHWA" had uimbe "ali selema alija, mchaka mchaka chinja" ww "UKAKEREHESHWA" hivyo si tu kumchukia yeye bali ukapoteza kabisa hamu ya kutiwa dudu ....
That's purely a "psychological effect"
USHAURI: Kwa "wapiga pushups" wote jamani hizo "dudus" zenu muwe mwazisukuma kwa step ili tusitengeneze akina "Illuminata" wengine [emoji4] [emoji4]
OKnilitegemea jibu
but thank u 2
Kwahiyo unaitaka hyo hamu iliyopotea au??Teh teh teh,Mkuu rejea kwa post yangu utanielewa yan ni kwamba sina ham ya kusex hata kidogoo tangu mimba ishike mpaka sasa
hapanaaKwahiyo unaitaka hyo hamu iliyopotea au??
Eeh sinaaawewe si umesema bwana wako alikukimbia ulivyopata mimba inakuaje useme hauna hamu tena ya sex
Mbona wagunaaMhmmm
Njia itanuke kivp?Huwa inatokea kupoteza hamu ya kufanya mapenzi kwa wajawazito lakini nakushauri jitahidi kupata mgegedo ili njia itanuke
SawaKwani kufanywa ni chakula..[emoji15] [emoji15]
Yaani usipo fanywa unahisi utaugua..!?
Ebu lea hicho kijacho mama, ya huku duniani tuachie sisi tulio shindikana
kwhyo unataka wakukugegeda c ndioEeh sinaaa
Hapanakwhyo unataka wakukugegeda c ndio
Yeah kwangu ni tofauti me sina hamu kabisa!Kwako ni tofauti...... mwanamke mjamzito huwa na hamu ya kufanya mapenzi....