Duh!! Ivi huyu dem wa JK huwa anawatembelea wadau kwenye shuka?? Mhhh!! Siipati picha ya kinachoendelea ndani ya hizi shuka, mpaka kampeni hizi zikamilike......!!! mnafaidi ehh!!??
Yawezekana amepiga kampeni ya 'shuka kwa shuka' yeye mwenyewe na kushtukia baadaye maana yake Kigoma kwa 'ndumba' ndio wenyewe. yaani mwanamke anakuta joint yake hiko wet.