FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
My pointi is: Kilichonifanya nilete thread hii hapa ni kuwa nimetoka kazini leo jioni narudi home nakuta Mama anafua nguo za kijana aka mtoto wake wa kiume(yule the best of the best) more than 23 yrs mpaka soksi, ch*** nimestuka nusu nizimie kha iweje??? Usiniulize kwanini kwasababu sitajibu.
Watu kama nyie ndo mnajiita masister duu mtoto wako akijinyea huwezi msafisha mpaka afanye house girl kwani kuna tatizo gani hapo? Wacha mama ampende mwanae hata akifua kufuli ya mwanae hakuna ubaya si wkt alivyo kuwa mtoto alikuwa anafanya hivyo kwa nn sasa asifanye? Vp na matusi nayo wanafanyana?
Wanakuwa wawazi kwa kuwa wanajua wana kinga ya 'umama' na 'umtoto'....take it from me, wanamegana hao, nimeshashuhudia mengi na umri huu.
Narudia tena, sitaki maswali.
Wanakuwa wawazi kwa kuwa wanajua wana kinga ya 'umama' na 'umtoto'....take it from me, wanamegana hao, nimeshashuhudia mengi na umri huu.
Narudia tena, sitaki maswali.
Hahahahaha mama ameamua ajilie vyake kwa raha zake.
Amemtunza kijana toka akiwa tumboni mpaka anapevuka anamuhudimia tu sasa kijana ni kazi moja kumkuna mama ake.
Kijana anarudisha fadhira kwa mama ake jinsi alivyo mlea anampa kitu roho inapenda.
Habari Zenu wote haijalishi ni shikamooo, hujambo, mambo vipi, mzima wewe, nk salamu ni salamu nawasalimu kwa heshima kubwa niliyofundishwa na Wazazi wangu(nieleweke siwasifii wazazi wangu)
Naishi nyumba ya kupanga huku nilipo (Afrika) mwenye nyumba ni Land Lady (Mama Mwenye nyumba), Land Lord (spelling sijui kama ziko sawa maana mie kidhungu noti reachable) alifariki muda kidogo hata mimi sikuwepo wala sikudhani kama nitakuja kuishi nchi hii.
Nieleweke sisemi kwa ubaya hapa kwa hili ila kuna kitu kimeniishangaza sana huyu mama yuko karibu sana na kijana wake wa tatu kuzaliwa mpaka watoto wengine wanaona vibaya kabisa mf. rent na bill zote kama umeme, maji, simu, takataka, ulinzi nk anachukua yeye (kijana), matengenezo ya nyumba yeye na mengine mengi anafanya bila kuwashirikisha ndugu zake, mind you anashirikiana na mama yake tena kwa karibu sana.
My pointi is: Kilichonifanya nilete thread hii hapa ni kuwa nimetoka kazini leo jioni narudi home nakuta Mama anafua nguo za kijana aka mtoto wake wa kiume(yule the best of the best) more than 23 yrs mpaka soksi, ch*** nimestuka nusu nizimie kha iweje??? Usiniulize kwanini kwasababu sitajibu
Sitaki mambo ya umbea lakini nimeshangaa nakujiuliza bila kupata majibu na sikutaka kumuuliza mtu wa karibu ili kutaka kujua mambo ya ndani kwao, naona kama hayanihusu vileeee.
Ila nauliza wanajamii hii ni haki kweli maza anakufulia nguo, soksi mpaka nanihinooooo kweli au kuna kitu kinaendelea hapo zaidiii..................... (I stand to be corrected)
Mie ni mpangaji lakini sijapenda hii tabia.
Usiku mwema woteee nawapenda.......................
mpaka soksi, ch***[/SIZE] nimestuka nusu nizimie kha iweje??? Usiniulize kwanini kwasababu sitajibu
We umezijuaje hizo nguo ka za huyo mwanae? Au uliwahi kunanihii naye? Dena mi na mashaka hapo!!
Yote wawezekana kumdekeza/kumegana
1. Kumdekeza mtoto wa umri huo ni kumjenga katika matatizo makubwa kama huyo mama akifariki kabla kijana hajaoa inakuwaje, wazazi tuacha malezi mabaya mtoto akifikisha umri wa miaka 7 aanze kufundishwa kazi mbalimbali za kujitegeme sio zee zima miaka 23 anafuliwa kufuli lake
2. Kumegana, kumekuwepo na shuhuda na vituko vya aina hii katika jamii yetu kwa sasa kwa hiyo sio ajabu mama akawa anaendelea taaratibu.
Mie nimeshuhudia binti jirani yangu anamfulia baba yake kufuli mama anapokuwa amesafiri mwishowe mama alikuja gundua binti ameingilia makao yake mama akaondoka amemwachia binti na baba wanabanjuka hadharani kila mtu unajua
We umezijuaje hizo nguo ka za huyo mwanae? Au uliwahi kunanihii naye? Dena mi na mashaka hapo!![/SIZE]