Mama Maria Nyerere atimiza miaka 94 , tumtakie heri nyingi

Mama Maria Nyerere atimiza miaka 94 , tumtakie heri nyingi

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Alipata watoto 7 ndani ya miaka 9, akafuga kuku ili asaidie familia kiuchumi. Akakataa kuitwa First Lady na akarudisha zawadi ya mkufu wa Almasi aliopewa na meneja wa mgodi wa Mwadui. Tena akaishi kwenye ndoa na Mwalimu kwa Miaka 45. Mama wa Taifa,Mama Maria Nyerere ametimiza miaka 94
IMG_4794.jpeg
 
Asante kwa kunifariji ila kwa miwaya hii niliyokanyaga, 50 yenyewe sitoboi
🤣🤣🤣🤣ila we mgegedaji unachekesha sana, miwaya sio!

Siku hizi wanaishi miaka 30 hakuna shida.
 
Ety alikataa kuitwa first lady 😂 ni Sawa na mwanafunzi akatae kuitwa mwanafunzi.
Mwanafunzi ni Mwanafunzi sababu anajifunza..., First lady ni Upuuzi sababu unajiona wewe ndio alpha wakati busara ni kujishusha ukizingatia hauna ubora wowote zaidi ya wengine...,

Huenda hili likawa gumu kulielewa kutokana na mentality ya sasa watu wamekuwa narcissists...
 
Mwanafunzi ni Mwanafunzi sababu anajifunza..., First lady ni Upuuzi sababu unajiona wewe ndio alpha wakati busara ni kujishusha ukizingatia hauna ubora wowote zaidi ya wengine...,

Huenda hili likawa gumu kulielewa kutokana na mentality ya sasa watu wamekuwa narcissists...
Kwahy alivyokataa ndio hakuwa first lady?
 
Kwahy alivyokataa ndio hakuwa first lady?
Kwangu mimi hakuna First Lady yoyote popote kwa watu wote..., At Most First lady wa mtu ni mke wake, mama yake au mtoto wake wa kike ambapo am sure kwa huyo individual such a person is in an above pedestal than any other female...

All these Civil Servants should be below and not above the people who pay their salaries (In my Humble Opinion which seems to be shared by Mama Maria Nyerere) and to that I Salute Her....

On the same token this was shared by her Husband who disliked being called Muheshimiwa and decided to make do with Ndugu or Just Mwalimu....
 
Watoto 7 ndani ya miaka 9 maana yake kila baada ya mwaka 1 na miezi 3 alikuwa anashika ujauzito. Mmmm!!!!
 
Back
Top Bottom