Mama Mariam Mwinyi akabidhi sadaka ya futari kwa makundi maalum

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mke wa Rais wa Zanzibar na Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mhe. Mama Mariam Mwinyi leo tarehe 18 Machi, 2024 amekabidhi Sadaka ya futari kwa makundi maalum wakiwemo watoto Yatima, Wazee.

Sadaka hiyo imegaiwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Anna Atanus Paul kwa niaba ya Mama Mariam Mwinyi.

Sadaka hiyo imetolewa Mkoa wa Mjini Magharibi katika kituo cha watoto yatima Mazizini, kijiji cha SOS, Mambosasa, Welezo na Sebleni.

 
Kwahiyo aliyefutulisha akina mwijaku tumuweke kundi gani🙄🙄🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…