Mama Maua Daftari

Genekai

R I P
Joined
Feb 9, 2010
Posts
12,514
Reaction score
4,998
Jamani huyu mama ni mara chache anaongelewa, sina hakika ila niko tayari kukosolewa. Nadhani huyu mama si wakuwekwa kwenye kundi la mafisadi. Amekuwa naibu waziri kwa muda mrefu na pengine kuliko wote tulo nao. Sasa wanajamvi mnamwonaje. Narudia tena nadhani sio fisadi na kama nimekosea niko tayari kukosolewa!
 

Attachments

  • DSC03230.JPG
    44.2 KB · Views: 138
Mmh alikuwa na kesi mahakamani ya kumtapeli mkazi wa Kibaha mamilioni sijui hiyo kesi imeishia vipi,kwa kifupi si msaafi kwa sana kwani kwa kiongozi kuwa na kesi ya utapeli si sifa nzuri,ngoja ninukuu usemi maarufu wa hapo kale ni kuwa mke wa kaisari aliwahi kutuhumiwa,naam mfalme akamtimua akisema mke wa mfalme hatakiwi kutuhumiwa
 
Alikuwa anatuhumiwa mpaka mahakama itakapotoa hukumu kwahiyo bado ni mtuhumiwa
 
Alikuwa anatuhumiwa mpaka mahakama itakapotoa hukumu kwahiyo bado ni mtuhumiwa

Asanteni waakubwa kwa kunijuza lakini nadhani sio mchafu kama kina Karamagi!
 
Alikua na kesi ya kutapeliana mikufu ya dhahabu ,s iunajua wana zimana kwenda kwnye taarab
 



Unajaribu kumwosha kabla ya uchagzi mkuu?. kutoongelewa si kwamba yeye ni msafi kihivyo bana, wapo Mawaziri wengi kweli orodha ya kabineti ya JK hawajawahi kabisa kuongelewa/kutajwa vibaya lakini hilo halimaanishi wapo mswano kwa vitendo vyao.

Daftari alishauguswa mara kibao hata hapa ndani bana kwa mfano hii hapa chini yamhusu yeye huyo Daftari:

 
unajaibu kumwosha kaba ya uchagzi mkuu?..

Hapana best simsafishi sikujua kuwa naye yumo kweli nimeamini kimya kingi....
sasa hii sirikali ya ccm kuna mzima kweli?
 
Hapana best simsafishi sikujua kuwa naye yumo kweli nimeamini kimya kingi....
sasa hii sirikali ya ccm kuna mzima kweli?

Zipo sura nyingi tu hazijawaji kutajwa hapa kwa uovu lakini zinakula nchi kimya kimya hapa . Waweza kuzitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…