OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jamani tuache unazi tuwe wakweli. Yale magoli aliyopiga Said Ndemla na Mwinyi Kazimoto sio ya nchi hii.
Hebu tazama Mwinyi na Ndemla walivyonyumbulika,wakapangua mabeki,waka-drebo,wakamtazama kipa,wakapima height ya kipa,wakapima leght kutoka mguuni kwake mpaka juu ya height ya kipa,wakatungua..........Full of Physics and Mathematics. Unajiuliza hawa ni wachezaji au engineers katika application za Calculus
Utani
Kama sio lile fuvu lililofukupiwa Taifa,yale magoli ilikuwa apigwe Yanga-Ngao ya Hisani