miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 660
- Thread starter
-
- #341
Dah miss chuga umeongea kwa hisia sana mamie yaani mpaka umenigusa ndani ndani kabisa ya moyo,i can feel you my dear,ninaumia pamoja na wewe,kwa kweli una wakati mgumu sana mpenzi,ushauri humu ni mwing sana umetolewa,la msingi mwombe Mungu akuongoze ufanye maamuzi sahihi ambayo hayatakuwa na madhara kwenu nyote lakini pia take your time usiharakishe kuchukua maamuzi nina amini muda unaweza kutoa majibu mujarabu,time tells mamie,kila la kheri my dear na upone upesi hayo maumivu yako ya kihisia .
Dah miss chuga umeongea kwa hisia sana mamie yaani mpaka umenigusa ndani ndani kabisa ya moyo,i can feel you my dear,ninaumia pamoja na wewe,kwa kweli una wakati mgumu sana mpenzi,ushauri humu ni mwing sana umetolewa,la msingi mwombe Mungu akuongoze ufanye maamuzi sahihi ambayo hayatakuwa na madhara kwenu nyote lakini pia take your time usiharakishe kuchukua maamuzi nina amini muda unaweza kutoa majibu mujarabu,time tells mamie,kila la kheri my dear na upone upesi hayo maumivu yako ya kihisia .
Mkuu pole sana kwa hayo yote unayopitia kwa sasa kwani ni kipindi kigumu sana kimaisha na ni Mungu tu anaweza kukuvusha salama katika kipindi hiki hivyo nakushauri pamoja na ushauri mwingi ambao watu wameutoa humu Piga Magoti mlilie Mwenyezi Mungu hakika yeye hufanya njia pasipo na njia.
Pili nakushauri usijaribu kubeba mimba kama ulivyoeleza hapo kwenye uzi ili kushinikiza ndoa hii ni hatari sana kwa muskabali mzima wa maisha yako ya kesho, pia muombe Mungu akuondolee wazo la kutaka kujiua hii ni roho chafu naomba isipate nafasi.
Tatu ongea na huyo mume mtarajiwa umjue mtu mwenye maamuzi katika familia yao kwa sasa ni nani kutokana na kwamba baba yake hayupo, ukimpata huyo mwambie mtarajiwa amfuate aongee nae na pale inapowezekana wahusishwe viongozi wa dini ili huyo mtu aende akaongee na mama na kumueleza madhara atakayoyasababisha kwa uamuzi wake wa kutokutaka ndoa ifungwe na aelezwe haya yote yanayokuumiza ikiwa ni pamoja na yeye kukubali kuja kutoa mahari na kuvalishwa pete ili hali akijua kuwa hataki mwanae akuoe.
Ikiwa namba tatu hapo juu itafanikiwa basi nakutakia kila la kheri kwenye maisha mapya utakayoanza,ikiwa haitafanikiwa mim kwa nafasi yangu nakushauri usifunge ndoa bila wazazi wa mume kuwepo nina kesi nyingi za hivi maisha yenu yatakuwa magumu sana na hutayafurahia; kumbuka huyo ndio mtu ambaye mtaishi wote kwa kipindi chote cha maisha yako kilicho baki.
Mwisho kabisa ushauri wangu kwa wakuu wote hapa wachaga kama yalivyo makabila mengine wana mazuri yao na mapungufu yao ila kwenye kutoa maoni tuwe makini na kauli zetu tunaweza kulaani vizazi vyetu bila kujua. Mama na baba wakwe mliopo hapa na wale watarajiwa tujifunze jambo hapa sio vizuri kuumiza mtoto wa mwenzio kiasi hiki "what goes around comes around".
Wewe nenda kaolewe na kisharii,shida dada zangu mnapenda kulazmisha ndoa sana,hutakiwi na mkwe chapa lapaHabari zenu wapendwa?
Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.
Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10
Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa
Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.
Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,
Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Maamuzi anayo mumeo mtarajiwa(mchumba).
Ila angalia miaka 30 mbele, usipokubalika wewe ujue hata wanao, wajukuu wa mama mkwe wako hawatakubalika.
Kama amani hakuna usilazimishe, japo wanaume ni wachache ila bado wako wengi duniani.
Kama una roho ya kupambana ingia ulingoni olewa, ila usilazimishe sasa hivi halafu baada ya miaka 2 ukimbie ndoa kuwa mama mkwe sio... dalili umeziona mapemaaa.
Mapenzi yatakuumiza, ukiyapuuza uliyempenda sana pia unamsahau vilevile na anakuja mwingine anakava nafasi ya jamaa.
NB: Kiukweli nimesoma kichwa cha uzi tuu, uzi wenyewe sijausoma 😜😜
Mkuu,mara msikilize mama sijui ndokakuzaa,
Miss, bado hatujatrend? Nina hamuuuuu ya kuserebuka mnyakiNi hivyo tyu sipendi kutrend huko miandaoni[emoji28][emoji28] ningemchukua gara b piaaa... kwanini uutese moyo wako kisa kabilaaa...
Halafu tunajuaga kuwaka balaa. Kama si mchagga basi nyaki beibe[emoji28][emoji28][emoji91][emoji91]
Kwaresma malizika tuunganishe familia.
Kwendraaa hukoWamachame wamesababisha yote haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapema sana Dec. Kabla ka kilisimasi... na tunawafata hukohuko....Miss, bado hatujatrend? Nina hamuuuuu ya kuserebuka mnyaki
Navyowapenda wamachame nataman hata nihame wilaya yetu nihamie kwao jinsi wanavyojiamini. Kwanini unyanyasike na kwenu kupo.. kibooo cha ndesiiKwendraaa huko
Wwe ninmtanzania halisi....Habari zenu wapendwa?
Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.
Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10
Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa
Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.
Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,
Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Wewe ni mmachame? Tuanzie hapo kwanzaHabari zenu wapendwa?
Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.
Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10
Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa
Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.
Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,
Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapema sana Dec. Kabla ka kilisimasi... na tunawafata hukohuko....
[emoji23][emoji23][emoji23] eeh... tunawaangalia wanavyotupondea hapa wakati uraiani wanatulilia balaa... sisi hatushindi na khanga vibarazani jamani[emoji23] tuna mambo mengi ya kufanya.Wewe usiniambie kuwa mnatufuata? Watu weuweeeeeeeeee
Woii! Hilo ni jambo dogo sana, ni hivi funga siku 3 usile wala kunywa. Na na ukiomba KRISTO azikeme hizo falme za wakuu wa Giza wanaomtumia huyo mama mkwe ndoa isifungwe, zingatia wakuu wa anga, bahari na nchi kavu wasizuie. Ndoa ni kitu chema lkn ibilisi anataka kuinua bega ashindwe.Habari zenu wapendwa?
Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.
Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10
Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa
Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.
Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,
Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
[emoji23][emoji23][emoji23] eeh... tunawaangalia wanavyotupondea hapa wakati uraiani wanatulilia balaa... sisi hatushindi na khanga vibarazani jamani[emoji23] tuna mambo mengi ya kufanya.
Cheers to the strong women out there