mama mkwe jeuri......

fane!!!!!
 

kwanza vichanga kwanini vife fazaa?
mama ana weza kuendelea kuvilea,hujaona mke anafariki wakati wa kujifungua then bibi anapokea mzigo wa kulea mtoto aliyeachwa na anakua bila shida.
 
Last edited by a moderator:
Aisee hii inawafaa wale wanaolalamikaga hawafikishwi...yaani kitu inafika tumboni kabisa, hachukui raundi anamaliza!!
sema siyo nzuri kama unataka kumpa mtu :mimba:
Dah! Dr Rejao bana. ndio maana Cantalisia hakurisit mtihani wa baioloji kumbe
 
Last edited by a moderator:


Usinibabaishe na jibu lako la selfish. wote tupo selfish. swala ni kuchagua kati ya wawili.
katika situation kama hiyo wewe ndio unaweza tumia kama mtego wa kumjua kati ya mama yako
na mke wako nani anakupenda zaidi. Acha majibu ya kutaka kuonekana wamuhusudu sana mama yako
kuliko mke wako. Ukimchagua mama yako kama kweli ana mapenzi na wewe atakuambia na kukusihi
umchukue Mke wako na yeye umuache.
Ukimchagua mke wako ni lazima atakua na machungu na mama atakuuliza ni kwa nini umenichagua mimi.
ili akupe nafasi ya wewe kujitetea kwa mama yako indirectly. si nae ana watoto hom?
lazima ataelewa mamayako imemuuma vipi pale. tatizo tunataka straight answers.
samtimez ingine nenda beyond. 1+1 is not always 2. sometimes it is 11.
 
Nilikuwa natania tu, nitakuokoa wewe beibe, nitahakikisha hata hako kaaiskrimu hakaanguki chini na kuingia mchanga.


For this you get a free ride. teh teh teh. na watoto nahakikisha wanaanza kutamka baba then ndio mama.
 
kwanza vichanga kwanini vife fazaa?
mama ana weza kuendelea kuvilea,hujaona mke anafariki wakati wa kujifungua then bibi anapokea mzigo wa kulea mtoto aliyeachwa na anakua bila shida.
queenkami Sijasema napenda vichanga vife, hapo lazima ujuwe Erotica kauliza swali nichagua nani wa kumsave kati yao...Kama ni ushauri wangu sipendi kuwakosa wote lakini unapoulizwa nani bora kati yao apoteze maisha yake ni bora hako kachanga...Nadhani umenipata sasa.
 
Uyo Dada yuko juu,kwani kuna mimama mkwe mingine inakera sana yani kazi yao nikuingilia mausiano aswa ya watoto wao wa kiume.
 
Eti najioneysha nampenda mama yangu kuliko mke wangu....Mama yangu atabaki kuwa mama yangu na mke wangu atabaki kuwa mke wangu.

BTW wapi nimesema simpendi mke wangu, kama mama yangu...tunaongelea thread ambayo inasema mama mkwe jeuri anataka mwanae amsikilize amri yake sasa kosa liko wapi kama atamsikiliza kuliko mke wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…