Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

kilambimkwidu

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
6,097
Reaction score
7,199
Nimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.

Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...

"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".

Mie nimemjibu....

"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"

Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?
 
Ebana eeh, hiyo inaitwa kuingilia faragha. Na ulisema umeoa miezi miwili tu iliyopita.
 
Mkuu, kwani mwenye tatizo kuhusu ujauzito ni wewe au mwanae? Maana anavyokusakama pengine ameshagundua kuwa mwanae hana tatizo na tatizo lipo kwako right? So jiongeze baba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama uliona thread ya kwanza huyu jamaa alosema kaoa miezi miwili tu iliyopita, sasa kwa speed hiyo ni balaa.
 
Nimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.

Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...

"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".

Mie nimemjibu....

"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"

Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?[/QUOTE

MKUU EBU SOMA UPYA HII MANENO YA MAMA MKWE WAKO MARA ZAIDI YA KUMI HALAFU UJIBU UMEELEWA NINI..

''Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".
 
Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".
 
Back
Top Bottom