Kama uko serious ni PM
Mkuu ndo maana siku hizi vijana tumekuwa wajanja, tunaonja kabla ya ndoa na akionyesha dalili za kuvimbiwa mhogo ndipo unatangaza ndoa! Sasa labda mama mkwe anamlaumu kwann hakuanza mapema?Mkuu kama uliona thread ya kwanza huyu jamaa alosema kaoa miezi miwili tu iliyopita, sasa kwa speed hiyo ni balaa.
Thanks. Ni PM namba yako mkuu niwe nakuomba ushauri privateAiseee !! Kwani mkuu huna marafiki kabla ya Jamii Forum?, Kuna siku haya mambo atayajua mkweo ya kumnadi kwenye majukwaa na hapo ndipo utajua "Utu uzima dawa"
Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
Wewe una dalili za ushogaNimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.
Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...
"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".
Mie nimemjibu....
"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"
Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?
inaezekana ana ujauzito wa mwwanaume mwingine yan kabla sijamuoa au?? hebu fafanua mkuuHUYU MAMA MKWE AITHER ANAJUA MWANAE ANA MATATIZO, AMA UJAUZITO WA MWANAMUME MWINGINE AU ANAKUTAKA HAYO MAMBO GANI ?KHAAAAAAAAAA
mkuu hasira yote hii ya nini?? au wewe na mamamkwe lenu moja!Wewe una dalili za ushoga
Sasa meseji za mkweo sisi zinatuhusu nini?
Ukisikia umbea ndo huo bado kuvishwa kanga tu.
SASA JE?inaezekana ana ujauzito wa mwwanaume mwingine yan kabla sijamuoa au?? hebu fafanua mkuu
Nimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.
Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...
"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".
Mie nimemjibu....
"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"
Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?
...but majuz apa mbona "alichinja jogoo" kama kawaidaSASA JE?
Tafuta watu wako wa karibu sana ambao wanajua jema lako na baya lako, waweke wazi kuhusu hizo sms na mtafute njia ya kumfanya mama mkwe kuwa tofauti na alivyokuwa sasa kila siku kutuma sms kuhusu familia.n
Thanks. Ni PM namba yako mkuu niwe nakuomba ushauri private
aaagghhhh kwa hali hii ni bora iwe hivo tu...amchukue ila arudishe pesa yangu nikalime mihogo mkurangaHapo lazima, Mama Mkwe aombe pooooo pia, naamini unapiga mzigo kama Masfugerson trekta fulani hivi ilikuwa kali sana enzi za Mwalimu JK Nyerere.
Haaa haaaa haaaaaa haaaaaa teeeh teeeh.
Ila, ukiendelea hivi tarajia Mama mkwe wako akaja na akamchukua Binti yake home, maana hauna siri za nyumbani kwako na kwenu kwa ujumla.
SAWA MAMATafuta watu wako wa karibu sana ambao wanajua jema lako na baya lako, waweke wazi kuhusu hizo sms na mtafute njia ya kumfanya mama mkwe kuwa tofauti na alivyokuwa sasa kila siku kutuma sms kuhusu familia.
Na kama umekosa mtu wa kumshirikisha basi ni ahuweni uwe unajibu "sawa Mama" kila anapokutumia hizo sms zake bila kuongeza maneno, wewe mwambie sawa mama kila akituma jibu hivyo.
Ukijibu maelezo marefu na yeye atapata cha kuongea kuhusiana na jibu lako refu ila ukitoa jibu ambalo halizai swali atashindwa kukupa swali tena.
Usinisahau kwenye Baraza Jipya.