Mama mkwe mkanye mwanao apunguze kunichunguza, atakufa kwa presha

Mama mkwe mkanye mwanao apunguze kunichunguza, atakufa kwa presha

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mama mkwe mwanao amekolea kwa kiwango ambacho sikutarajia. Hata mimi nimemwelewa sana tu japo nimeweka akiba ya baadae kabla sijafanya maamuzi ya kumpiga pingu za maisha.

Lakini sasa kunichunguza ameanza kuzidi. Yaani inafika wakati saa nane za usiku nastuka namkuta anapekua simu zangu, anazama kila kona ya simu. Kumbe amepata password. Huko nyuma Nilimpa ushauri simu ya mwanaume sio nzuri sana, akanielewa lakini anasema roho inakuwa inamuuma asipoigusa.

Bahati nzuri tu hajawahi kukutana na bomu la machozi lakini ipo siku yake.
Sijui huyu mtoto mtamu anahangaikia nini, maana sijawahi kuonyesha hata dalili za kuwa na mademu wengi. Nakiri nina mchepuko wa kubadilishia mboga lakini heshima ipo juu sana. Utadhani naachaga dushe nyumbani.

Unamuuliza shida ni nini, anasema nampiga mashine kitalaamu sana. Sasa roho inamuuma haamini kama anakula peke yake.

Mimi najitahidi kufuta nyayo zooote, lakini yeye anaanza kunusa nusa. Sijui kwa faida ya nani. Huyu mtoto si anatafuta presha za kijinga kabisa

Hii ni mwana kulitaka-mwana kulipata. Najua toto lako lipo humu, mshaurini aache utoto, akikaza komwe shauri yake.
 
Wanaopiga mashine kitaalamu huwa hawasemi, wanaacha mtu aingie kwenye 18 halafu maji aite m'mma

Asante kwa tangazo, watakuja..!
Hilo sio muhimu sana. Lisikuvuruge kichwa ukanifuata pm
 
Muachie mkeka wa matukio wenye majina tofauti tofauti, hapo itakuwa umemtimizia ndoto yake ya kupata anachotafuta kwenye simu yako.
Tena akianza kujiliza unamwambia alie kwa sauti ndogo unataka kulala.

Ila hapo kwenye kujisifu kuwa unambato vizuri, usijidanganye sana. Hii miviumbe ni miongo, unaweza kuta ukiwa umekakamaza kalio kuhisi unamsugua vizuri mwenzio anamuwaza ex wake.
 
Mama mkwe mwanao amekolea kwa kiwango ambacho sikutarajia. Hata mimi nimemwelewa sana tu japo nimeweka akiba ya baadae kabla sijafanya maamuzi ya kumpiga pingu za maisha.
Lakini sasa kujichunguza ameanza kuzidi. Yaani inafika wakati saa nane za usiku nastuka namkuta anapekua simu zangu, anazama kila kona ya simu. Kumbe amepata password. Huko nyuma Nilimpa ushauri simu ya mwanaume sio nzuri sana, akanielewa lakini anasema roho inakuwa inamuuma asipoigusa.

Bahati nzuri tu hajawahi kukutana na bomu la machozi lakini ipo siku yake.
Sijui huyu mtoto mtamu anahangaikia nini, maana sijawahi kuonyesha hata dalili za kuwa na mademu wengi. Nakiri nina mchepuko wa kubadilishia mboga lakini heshima ipo juu sana. Utadhani naachaga dushe nyumbani.

Unamuuliza shida ni nini, anasema nampiga mashine kitalaamu sana. Sasa roho inamuuza haamini kama anakula peke yake.

Mimi najitahidi kufuta nyayo zooote, lakini yeye anaanza kunusa nusa. Sijui kwa faida ya nani. Huyu mtoto si anatafuta presha za kijinga kabisa

Hii ni mwana kulitaka-mwana kulipata. Najua toto lako lipo humu, mshaurini aache utoto, akikaza komwe shauri yake.
Mwasibu weeeee, uko wapi jamani.....
 
Back
Top Bottom