Mama mkwe mpiga chabo

Hajaolewa, halafu wala hata miaka hamsini hajaitimiza

Bujibuji fanya uchunguzi binafsi, usikute huyo jirani yako anakula mama na mwanae yaani kuku na mayai yake!
 
Bujibuji, unakaa wapi na mie nihamie?
Huko kwenu raha sana, sidhani kama huwa mnasoma magazeti, kusikiliza eredio au kuangalia tv .
Maana hizo events zinazotokea huko ni zaidi ya cnn+bbc
 
Haaaaaaaaaaaaa mbavu sina. Wewe ni Yusufu wa kwenye Biblia ambaye alimkimbia mke wa Potifa kama wewe!Hongera kwa kuikimbia dhambi na Mungu akusaidie hivyo siku zote!
 
Kila mtu anaweza kuwa kama nabii yusufu inategemea na aina ya mwanamke uliyekutana naye.
Ukikutana na mrembo amekolea kila idara na akakuvutia, unakuwa binadamu wa kawaida.
Ila ukikutana na kitu kina sura mbaya utafikiri amekutana na smell mbaya ya chooni, ni kweli kabisa unageuka na kuwa yusufu.
Simple
haaaaaaaaaaaaa mbavu sina. Wewe ni yusufu wa kwenye biblia ambaye alimkimbia mke wa potifa kama wewe!hongera kwa kuikimbia dhambi na mungu akusaidie hivyo siku zote!
 
mwacheni huyo mama aangalie ubunifu wa vijana wa leo!!!!!!
 
baki uswazi mkuu yaani kuna raha sana ushuani noma tupu
 
ah ah ah uncle buji nimependa picha yako maana kiukweli mmefanana sana ah ah ah ngoja nikamuonyeshe chelulute
 
Si unajua mtu na mdogo wake wakitofautiana watu hawachelewi kuanza kutoa excuse, kitanda hakizai haramu
 
Hapo mlimkosea dawa yake kabla hamja mfikia mlitakiwa mumbeep na jiwe kwanza ndio mswali yangefuata.
 
Haaaaaaaaaaaaa mbavu sina. Wewe ni Yusufu wa kwenye Biblia ambaye alimkimbia mke wa Potifa kama wewe!Hongera kwa kuikimbia dhambi na Mungu akusaidie hivyo siku zote!

Acha kumuongopea hajakimbia dhambi.kakimbia rahaaa
 

Oyah nipe namba za huyo bi mdashi nataka kile chumba ulichotoka ww.
 
jamani,mtu mzima nae anataka damu changa.kwa kuwa mtu mzima,na yeye asipendwe?
 
ni wazo zuri likitengenezewa movie itakuwa talk of the town
 
Sasa ukamuacha hivi hivi mbona story hujamalizia sasa?
 
Mwambie Jamaa yako ampe likizo Mke wake ili aone mama Mkwe atafanyaje? Kama na nyumba ameshamjengea ni bora kujilipa humo humo tu kuku na mayai yake.
 
Ndagha malafyale, bhaghonile ahbana nu nkasigho, nkinkulu ujo akenyile!. Huo ni mwendelezo wa uchawi wanamfanyia kijana wa watu mpaka hana mahusiano mazuri na wazazi wake, yawezekana hata mke wa jamaa analijua hilo.
 
Na wewe si umwache ale chabo tuu, kwani anakupunguzia nini? ama hujiamini na mavituz yako?
 
Hii ishu jana iliniacha hoi, kiasi kwamba usiku nimeiota, eti mama mkwe wangu ananipiga deo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…