Mama mwenye nyumba nayoishi Ananijia Ndotoni


ndio shida ya kula vipolo usiku mnaota ndoto zisizo na mpango,aibu ya nini sasa?
 
hiyo ni ndoto tu na nashangaa ukaona aibu ya nini.penda kusali wakati wa kulala kwani wakati mwingine majini mahaba huja kwa sura za watu unaowafahamu
Thanks ntaufanyia kazi ushauri
 
kwanini hukuota unalipa kodi ya nyumba?
Ni ngumu kuota unalipa kodi wakti maisha magumu kiac hik umeme juu maji juu.imebki wenye nyumba pia kupandisha
 
Sasa usiendelee kuota kamata laivu umalize..
 
Kwani wewe ni mwanamke ama mwanaume ?hiyo ni ndoto tu
 
haiwezekani kuwa ni ndoto tu..
lazima umwahi fantasize...

ndo maana mtu huwezi kuota vitu ambavyo havipo kichwani mwako

mfano ku sex na mamako au babako
 
haiwezekani kuwa ni ndoto tu..
lazima umwahi fantasize...

ndo maana mtu huwezi kuota vitu ambavyo havipo kichwani mwako

mfano ku sex na mamako au babako
Hapo umenena ila ckumbki kma nilshawahi kumuwaza kimapnzi inanipa tabu sana hii
 
hahaha kwa hiyo unadhani alikuja kweli ?
No cna imani hyo but wakati niko ndotöni nilitamani nictoke make ilikua raha sana.c unajua ndoto ilvyo km unamalza halafu inayeyuka nilijilaumu kweli.
 
Ina maana wewe mwenyewe hujui kama ni kweli au ni NDITO??!!!

 
wallah kiukwel hii thread yako imenitishaaaaa ..... mh eti wamuota then wamkuta njee,,haaaaa???
 
Toka lini ndoto zikawa kweli,kama unampenda mwambie tu badala ya kujichafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…