Mama mwenye nyumba


sasa utabakwa mkuu.
 
Hii ni hatari, wanawake wa kiswahili wanaweza kukupiga jini ukajikuta unatokwa na ufahamu halafu wewe mwenyewe ukamfuata chumbani kwake na kuanza kummega ki BAMBUCHA
 
kama imeshindikana hiyo, na kama kuhama huwezi, mwambie uko na ngoma na akileta za kuleta utamuambukiza. akikusogelea tena ujue hilo ni jini si binadam. hii ni solushen ya mkato na haina gharama.

-THE END-
Atamwambia anakula mbolea..(ARV)
 
mmh! Kaka hama hiyo nyumba kama unaweza samehe kodi. Au kama vipi usipende kushinda nyumbani. Tafuta company hata ya mdogo wako wa kiume ukae nae.
Nahisi hatari inakunyemelea.

Mdogo wake? Duh. Sishauri hivyo kwani naye atategwa na hilo jimama lenye minyeg*. Na akiwa mdhaifu atakula. Tatizo analotaka kulikwepa litahamia kwa dogo.

Nami niliwahi kutamaniwa na kutegwa vibaya na jimama lenye nyumba, ambalo mumewe alikuwa na tatizo la kisukari na alikuwa hawezi 'kazi' (hilo jimama lilikuwa linaniambia yote hayo). Ila niliweza kulikwepa.
 

kula hapo !
 
hama kwenye nyumba yake
 

Vp umeshahama kwenye hiyo nyumba? Au ndio umeamua kuishi pamoja na jimama lako?
 
huyo mama mwene nyumba anatafuta mwenza wa kumlelea watoto, kama vp ongea nae kiutu uzima huwe unakula kodi za wapangaji wenzako!!!
 
Je wewe una mke na yeye ana mume? kama hivyo ndivyo mwambie kwa ukali sipendi kudhalilishwa tena uwe serious hasa, akiendelea mwambie meo na hatimaye mwambie mume wake kama wote hawaeleweki hama haraka, ila tafuta ku-solve kwani tatizo halikimbiwi ni kutatua maana unaweza kuhama ukakutana na tabia mbaya hata kuliko hiyo ukaja juta kuhama na hatimaye majuto ni mjukuu. Ila na wewe tukuulize akifanya hivyo unachukua hatua gani maana kama unamachekea ndiyo maana anaendelea!!!
 
umemalizana vipi na mama mwenye nyumba wako?
 
.........hiyo njia ya kupishania ni ndogo kiasi gani mpk hata ziwa likuguse?wewe mwenyewe unapenda
 
Kuna baadhi ya thread hazifai kuwa ktk jukwaa hili kabisa. Upuuzi mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…