The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
senksi the finest
Naitisha kikao cha ISC kujadili hili jambo.....for sure haikubaliki...
Wakuu mbona siwaelewi? Hiyo si ndio INFIDELITY mnayoienzi? Labda mkajadili kosa walilofanya wahusika kwa kutafuta ibara iliyokuwa breached katika katiba yenu....! Kwangu mimi INFIDELITY naipinga muda wote kwa kuwaunga IPC mikono yangu yote....!Yaani hili halikubaliki kabisa ndani ya ISC
Cha kufanya asikae kimya akaugulia ndani kwa ndani aongee na wakubwa wake awaeleze! Then ikishindikana akubali yaishe! Maana ameshetoa dukuduku lakeSasa afanye nini? Tukubali tu kuwa ni hao ' watu wazima hovyoo!'
Ukisoma sheria zetu vizuri utaelewa kwa nn hi aikubalikiWakuu mbona siwaelewi? Hiyo si ndio INFIDELITY mnayoienzi? Labda mkajadili kosa walilofanya wahusika kwa kutafuta ibara iliyokuwa breached katika katiba yenu....! Kwangu mimi INFIDELITY naipinga muda wote kwa kuwaunga IPC mikono yangu yote....!
wakuu mbona siwaelewi? Hiyo si ndio infidelity mnayoienzi? Labda mkajadili kosa walilofanya wahusika kwa kutafuta ibara iliyokuwa breached katika katiba yenu....! Kwangu mimi infidelity naipinga muda wote kwa kuwaunga ipc mikono yangu yote....!
NY,
Wanawake nao wanfeeling pia, wanahaki ya kuwa nawenza wao. cha kushangaza watu hawashangai sana akina mama wakitoka na dogodog lakini wanaume inakuwa sawa tu hasa wake zao wakiwa wamefariki. Tulitazame kwa upana zaidi. Mapenzi kitu kingine jamani.
Huyo kijana anatakiwa kutambua kuwa mama yake amevumilia sana baada ya baba yao kufariki kwa kuwalea wao, waongee nae kistaarabu tu , na akisistiza wamwache ila kijana wamfuatilie wajue ni penzi kweli au ni fedha, hata hivyo ni ngumu sana kwa kijana kuchomoa kwa mama mzoefu kama huyo.
Cha kufanya asikae kimya akaugulia ndani kwa ndani aongee na wakubwa wake awaeleze! Then ikishindikana akubali yaishe! Maana ameshetoa dukuduku lake
yaani huyu huyu kijana tena apate na kazi ya kufatilia akma huyo frnd wake ana mapenzi ya kweli kwa maamke...hapana! labda mie wa njoro bado mshamba kwa kweli, lakini bado ckubaliani na mama kutemmbea na huyo kijana hata kidogo, hakuna mapenzi hapo ni kijana kajihifadhi, hata hao wazee wanaotembea na vibinti ni gold digger tu hakuna mapenzi...huyu mama ningekubaliana nae kama angetafuta mzee mwenzie...vingenevyo bora angefanya zinaa kuliko kudhalilishana hivi.
yaani huyu huyu kijana tena apate na kazi ya kufatilia akma huyo frnd wake ana mapenzi ya kweli kwa maamke...hapana! labda mie wa njoro bado mshamba kwa kweli, lakini bado ckubaliani na mama kutemmbea na huyo kijana hata kidogo, hakuna mapenzi hapo ni kijana kajihifadhi, hata hao wazee wanaotembea na vibinti ni gold digger tu hakuna mapenzi...huyu mama ningekubaliana nae kama angetafuta mzee mwenzie...vingenevyo bora angefanya zinaa kuliko kudhalilishana hivi.
mie bwana huyu mama ningegombana nae sana, atafute mzee mwenzie huko.
Halafu kijana nae ameona kuna upenyo wa ngawira ndio maana hawezi kuachia ngazi
Anazuga anampenda sasa mama....:spit:
mie bwana huyu mama ningegombana nae sana, atafute mzee mwenzie huko.
Na hao wazee wanakimbilia kwa vibinti vya shule hawataki wamama watu wazima!mie bwana huyu mama ningegombana nae sana, atafute mzee mwenzie huko.
what??????????????:faint::faint::faint:yani kijana ameamua ku chungulia alipotoka yy pamoja na rafikie?aibu gani hii jamani!mbona laana?kutembea na mtu aliekuzidi umri si kosa,ingawa mapenzi hayachagui lkn ndo mama wa rafikiyo?kwahiyo rafikie atamuita baba?mweeeeeeeeeeeeeee!eeeeeeh Mungu tusaidie.Huyu jamaa angenitambua mm ni nani na mama pia ningemuitia wazee wakubwa waongee nae kama ataki ushauri wangu wa kuachana na huyo mwanae frm another woman.
This is ridiculous!Mtoto kamtafutia mama yake BF.....! Cha msingi nawe uangalie usiingie kwenye mtandao.....!
what??????????????:faint::faint::faint:yani kijana ameamua ku chungulia alipotoka yy pamoja na rafikie?aibu gani hii jamani!mbona laana?kutembea na mtu aliekuzidi umri si kosa,ingawa mapenzi hayachagui lkn ndo mama wa rafikiyo?kwahiyo rafikie atamuita baba?mweeeeeeeeeeeeeee!eeeeeeh Mungu tusaidie.Huyu jamaa angenitambua mm ni nani na mama pia ningemuitia wazee wakubwa waongee nae kama ataki ushauri wangu wa kuachana na huyo mwanae frm another woman.