mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu Halima Mdee, Bi.Theresa Mdee amefariki dunia leo katika hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma
Taarifa hiyo imetolewa na Mbunge Ester Bulaya ambaye amethibitisha taarifa hizo za kifo cha mama mzazi wa Mh Halima Mdee leo katika hospitali ya Benjamin Mkapa na taratibu zingine za mazishi zitafuata.
Aidha, Kabla ya kifo chake Bi.Theresa alipata nafasi ya kutembelewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hospitali ambayo alikuwa akipatiwa matibabu.
Taarifa hiyo imetolewa na Mbunge Ester Bulaya ambaye amethibitisha taarifa hizo za kifo cha mama mzazi wa Mh Halima Mdee leo katika hospitali ya Benjamin Mkapa na taratibu zingine za mazishi zitafuata.
Aidha, Kabla ya kifo chake Bi.Theresa alipata nafasi ya kutembelewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hospitali ambayo alikuwa akipatiwa matibabu.