DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ni wachache wana hizo bahati bibi yangu mdogo nae yuko na 60+ ana baba na mama
Soma bible imeelezea kuwa kuna Mungu na kuna Jesus Christ.Hapo ndipo Huwa nachoshwa na hii dini, mnasema yesu ni mungu, sasa inakuwaje tena awepo Mungu mwingine akiwa amempakata mungu yesu?
Hivi ni kabila gani hao? Mama na mwana wameamua kuwa wasanii kupitia kanisa.
noma kweli aibu naona mieAstaghfirullahhh....