Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,440
Wadau
Hiki kilikuwa ni moja ya vipindi maarufu vya RTD hsawa kwa watoto hasa kwa watoto wa primary enzi hizo.
Watanzagaji wake nadhani alikuwa ni Debora Mwenda.
Kuna zile hadithi zilikuwa zinenda kwa mtindo wa series. teh teh teh teh teh .
Je mnaikumbuka hadithi ya Binti chura.?????? Wewe unakumbuka nini kwenye vipindi hivyo vya mama na mwana.
Karibuni katika flash back
Hiki kilikuwa ni moja ya vipindi maarufu vya RTD hsawa kwa watoto hasa kwa watoto wa primary enzi hizo.
Watanzagaji wake nadhani alikuwa ni Debora Mwenda.
Kuna zile hadithi zilikuwa zinenda kwa mtindo wa series. teh teh teh teh teh .
Je mnaikumbuka hadithi ya Binti chura.?????? Wewe unakumbuka nini kwenye vipindi hivyo vya mama na mwana.
Karibuni katika flash back