Mama ntilie na kibanda cha chipsi

Mama ntilie na kibanda cha chipsi

Naja naja

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
747
Reaction score
1,454
Wakuu katika biashara hizo mbili ipi ina faida?
 
Inategemea na eneo mkuu..kuna maeneo kibanda cha mama nitilie ni mahala pake..kwa mfano maeneo yenye ujenzi..ni aghalabu kukuta wabeba zege wakila chips..

Kibanda cha chips weka karibu na chuo/shule..
 
Mama nitilie haibagui wateja pika kila aina chakula chakawaida cha wantanzania wateja utawapata
 
bt all in all ukiweza kupangiliaa ugawaji wako wa chakula mama ntiliee ina faida kuliko chips
unaweza nunuaa mchele kilo mojaa wa 2000/1800 ukatoaa sahani 6/7 ikupungua saana ni sahani 5 zidisha hapo kwa mahesabu ya haraka haraka una shingap??mengine utamalizia mwenyewe
 
bt all in all ukiweza kupangiliaa ugawaji wako wa chakula mama ntiliee ina faida kuliko chips
unaweza nunuaa mchele kilo mojaa wa 2000/1800 ukatoaa sahani 6/7 ikupungua saana ni sahani 5 zidisha hapo kwa mahesabu ya haraka haraka una shingap??mengine utamalizia mwenyewe
Hata mimi nafikiria hii biashara
 
Back
Top Bottom