Is a beautiful thing
Kwa kweli wewe na mpenzi wako mmejua kutuweza 🤗🙌Tafuteni pa kwenda😅😅
Thanks dear🙏🏾
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hapo kila mmoja ana m time mwenzake afaidike, love? Dunia hii?
We changanya changanya tuNaona umeamua kushusha na verse ya kwenye bible kabisa "wimbo ulio bora"😀😀
mibaba mizima imejitoa ufaham halaf ukute ina watoto wanajua baba yao anafanya madili ya maana kumbe linavamia thread kwa comment za kijinga
Wote wangu😂Woote hao wako Mama pretty au wamejitolea tuu? Jf 😂😂
Ndio nafaidi sasa.. hayo mengine ni matokeo tuFaidi mapema date kimkakati usiende full margins
Ndege wengi sana wamekufa😂Hapa tayari umelenga ndege wawili kwa jiwe moja
Punguza wivu basi😅Vina muda basi
Unafanya mchezo nini😂😂Ushatembezewa mkuuyege hadi unaulilia ukiwa umeulalia kufudifudi
Nilijua mnachangia tu threads.. kumbe mpaka mapenzi😂😂Thanks for your love baby.Kwa kawaida kama umempenda mwana jukwaa mmoja basi ni sawa umetupenda wote.
Nimeshasema tayari🙌🏼Shouga bado hujasema utasema tyu
Tumeibuka😂Waliozama penzini hawana muda na huku, wapo busy wanaambiana hawaachani na kusimuliana kila walichofanya siku nzima, hadi mbu aliyepita usoni kwa mmoja wao habari yake imefika.
Na wewe una lishangazi😂😂mashangazi yakipenda(ga) yanaingia na mia kama gari lisilo na breki,ila wapewe maua yao maana mahaba wanayajua.
Sana tuMshakutana?
Hivi ulisema ushaolewa mkuu!!Looh! Pipa na Mfuniko vimekutana
😂😂😂 hongeraMama P wa hapa mbeya Igawa, nimekupata,, few days ago tulikuwa wote.
Anyway nafurahi kuifahamu ID yako.
Wivu na nani tena😅Punguza wivu basi😅