Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
- Thread starter
-
- #101
Tunaugulia ndani kwa ndani😂😂🤣🤣baadae msilete thread ooh simtak ooh haniridhishi🤣🤣
Hongera shost🙏
Asante mwalimu bibi= You're / You are.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mnataka mumjue ili kikiumana nibadili ID😂😂Haya sasa una kesi ya kujibu, Wamejitokeza wengi, Ni yupi sasa?
😘Yes honey I'm here
wanajijua😂😂Una akili sana, hapo hata kama unao watatu, kila mtu atahisi ni yeye kaandikiwa😀
Tulia bwana , nitamwambia anko akuongee pesa😅😅Aunt yangu Mama pretty unajua wengne wanaropoka tu... Lakin mimi uncle namjua... Maana mimi nimekula sana miatano zake alipokua anakufukuzia kwa kunitumia mimi... Nimtaje nisimtajeeee?
Aaah babu weeNimesha kucheki PM...😋
Asante sanaHongera sana
Kila mmoja ana faidikaHapo kila mmoja ana m time mwenzake afaidike, love? Dunia hii?
Ngoja anifikishe vizuri😂😂Kwa kweli wewe na mpenzi wako mmejua kutuweza 🤗🙌
Enjoy 😉
jitahidi uone aise,Yani nimefichwa mpaka sioni
Kashachukua kila kitu tayarimpe kila kitu, ukizubaa asije kujilaumu. 😉
Waache usiwaamshe😂😂😂Wanaume wa humu wengi maharage ya mbea,maji Mara moja tu.Mlivyo tiririka "I love u too "maraaa paaaaap kumbe dume lenzenu Lina miliki Id ya kike 😀.
Single motherJamani hamjambo?
Love is a beautiful thing.
Mama pretty nimezama penzini. Baby wangu upo humu. I love you so much😘😘😘
Usisema hivyo Mkuu, unataka wenye wivu wajinyonge eeh 🤪Ngoja anifikishe vizuri😂😂
😆😆😆😆😆Waache usiwaamshe😂😂😂
Idea za biashara kubwakubwa zitaisha muda si mrefu kama umedumbukia penzini😁😁I love you more sweetheart, queen of my heart, no one like you, your my everything.😂