Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima kwenu wakuu,
Mama Salma Kikwete aingia Arusha kwa staili ya kutupa fulana,kofia na scuff.Nilikuwa maeneo ya Stadium chini ya mti eneo maarufu kwa wacheza draft na madereva taxi ghafla mlio wa ving'ora vya polisi uliashiria wenye nchi wanapita kufumba na kufumbua Mama Salma Kikwete ndani ya Landcruiser anapita na kupunga mkono na tabasamu la aina yake anawarushia fulana,kofia na scuff hali inayosababisha mtafaruku na purukushani za kugombea zawadi za Mama Kikwete.
Naomba kuuliza sheria ya gharama za uchaguzi inasemaje,wajuzi wa sheria hii naomba msaada !
Mama Salma Kikwete aingia Arusha kwa staili ya kutupa fulana,kofia na scuff.Nilikuwa maeneo ya Stadium chini ya mti eneo maarufu kwa wacheza draft na madereva taxi ghafla mlio wa ving'ora vya polisi uliashiria wenye nchi wanapita kufumba na kufumbua Mama Salma Kikwete ndani ya Landcruiser anapita na kupunga mkono na tabasamu la aina yake anawarushia fulana,kofia na scuff hali inayosababisha mtafaruku na purukushani za kugombea zawadi za Mama Kikwete.
Naomba kuuliza sheria ya gharama za uchaguzi inasemaje,wajuzi wa sheria hii naomba msaada !