Elections 2010 Mama Salma aingia Arusha kwa mbwembwe

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima kwenu wakuu,

Mama Salma Kikwete aingia Arusha kwa staili ya kutupa fulana,kofia na scuff.Nilikuwa maeneo ya Stadium chini ya mti eneo maarufu kwa wacheza draft na madereva taxi ghafla mlio wa ving'ora vya polisi uliashiria wenye nchi wanapita kufumba na kufumbua Mama Salma Kikwete ndani ya Landcruiser anapita na kupunga mkono na tabasamu la aina yake anawarushia fulana,kofia na scuff hali inayosababisha mtafaruku na purukushani za kugombea zawadi za Mama Kikwete.

Naomba kuuliza sheria ya gharama za uchaguzi inasemaje,wajuzi wa sheria hii naomba msaada !
 
Huo ni uharibifu wa mali. Hajali maana hajazitokea jasho. Kaja Arusha kufanya nini ? Atarudi akilia
 
Mheshimiwa Ngongo,
Kwa mtu wa cadre yake kufanya hivyo ni kujidhalilishaa, na anazidi kukizamisha chama kwenye tope!...Ungepata snapshot ya tukio hilo ingekuwa burudani ya juu sana na ingebaki kwenye memory -lane kwaajili ya vizazi.
Lakini kwanini hagutuki anapopunga mkono watu wako kimya?...Mswahili bana..Ngoja nisubiri jioni, huenda nitapata picha za KITANDA KWA KITANDA!
 
nyie huyu mama na mumewe akili zao sawasawa, ama kweli Mungu hukupa mke wa kufanana nae.
 
Mtu hajaomba unampa, akiamua kumsetiri mbwa wake unamweka lupango!
 
huyu mama na mme wake wanafilisi na kuaibisha Tanzania
 
Salma Kikwte ana tamaa ya madaraka kuliko aliyonayo mke wa mgabe na Lucy Kibaki. Kwa tamaa yake ya madaraka na elimu ndogo ameamua kumshawishi mume wake warushe karata kwa watoto wao ili nao wauze kitakachosalia huku wao wakiwa wazee.
Jibu ni moja, tar 31 Oct.... Chagua Slaa (PhD) kukomesha udhalimu huu.

Nimeshapata tiketi ya Precision nakuja Dar jumamos kwa ajili ya kupiga kura. Wife kanithibitishia kuona jina langu kituoni. Naja ndg naja na kura yangu mkononi kumpa Slaaa
 

Mama ana vioja huyu.............

Naskia jana kaahidi barabara ya lami.
 
Salma Kikwte ana tamaa ya madaraka kuliko aliyonayo mke wa mgabe na Lucy Kibaki. Kwa tamaa yake ya madaraka na elimu ndogo ameamua kumshawishi mume wake warushe karata kwa watoto wao ili nao wauze kitakachosalia huku wao wakiwa wazee.
Jibu ni moja, tar 31 Oct.... Chagua Slaa (PhD) kukomesha udhalimu huu.

Nimeshapata tiketi ya Precision nakuja Dar jumamos kwa ajili ya kupiga kura. Wife kanithibitishia kuona jina langu kituoni. Naja ndg naja na kura yangu mkononi kumpa Slaaa
 
Salima Kiwete ametoka kwenye ukumbi wa CCM mkoa hapa Arusha palipokuwa panafanyika kikao cha wanawake kama dakika 45 zilizopita, nimeona akiwapungia mikono watu waliokuwa jirani na eneo hilo cha kushangaza watu walikuwa wanabaki kumkodolea macho badala ya wao nao kumpungia... jamani ccm hamtakiwi
 

Siyo hivyo mkuu!! Yeye anafikiri kila mtu anamfahamu kumbe wao wanamshangaa huyu ni nani?? Wanamjua tu akiwa kwenye ma-VX yao na akiwa pembeni ya Mkulu akiingia ntaani hakuna anayemjua!!
 
muda wa kurudi xul kula vumbi la chalk umefika sasa. madesk yamemmiss huyu mama.
 
Nilipta taarifa; watu wa Arusha wanasema Mama Kikwete hakubaliki katu A Town!

Inasemekana bora angemuacha Batilda .... ajisukume mwnyewe... yaani Salma sana sana anamuharibia zaidi!
 
Mama amefulia mbaya sana!!

CCM wajanja wamempitisha sehemu ambazo angalau CCM inakamwelekeo kadogo..

CCM imekwisha jamani!!!
 
Jamani hakuna kitanda kwa kitanda au shuka kwa shuka huko??? A-town angalieni mama mkali wa shuka kwa shuka huyo shauri yenu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…