Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Oct 28, 2010 #21 Ng'wanangwa said: Mama ana vioja huyu............. Naskia jana kaahidi barabara ya lami. Click to expand... Du hii kali!
Ng'wanangwa said: Mama ana vioja huyu............. Naskia jana kaahidi barabara ya lami. Click to expand... Du hii kali!
GFM JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 706 Reaction score 8 Oct 28, 2010 #22 Ni kwanini apigiwe vingora? Hivi mke wa Lipumba akipita vingora vinapigwa. Huu ndio wizi na utumiaji vibaya wa vyombo vya serikali xoxo:nono:
Ni kwanini apigiwe vingora? Hivi mke wa Lipumba akipita vingora vinapigwa. Huu ndio wizi na utumiaji vibaya wa vyombo vya serikali xoxo:nono:
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,039 Reaction score 7,465 Oct 28, 2010 #23 Mikomangwa said: Mtu hajaomba unampa, akiamua kumsetiri mbwa wake unamweka lupango! Click to expand... Nakubaliana na wewe....sio haki kabisa, mimi umenitupia kitu nisichotaka, nikaona kinamfaa mbwa wangu. sasa tatizo liko wapi?
Mikomangwa said: Mtu hajaomba unampa, akiamua kumsetiri mbwa wake unamweka lupango! Click to expand... Nakubaliana na wewe....sio haki kabisa, mimi umenitupia kitu nisichotaka, nikaona kinamfaa mbwa wangu. sasa tatizo liko wapi?