Huyu atakuwa na matatizo na ndoa yake....mwezi wa pili hayuko nyumbani
Jana Tar.18/10/2010 mama Salma Kikwete alionja joto ya jiwe kutoka kwa wenyeji wa Tunduma wkt akirejea kwenye kampeni Sumbawanga wananchi hao walitaka kuponda gari la mama Salma alikuwa kapita njia ya vumbi ya Msasani na kutokea Sogea. Wenyeji hao wamesema wamechoka na CCM.
Huyu atakuwa na matatizo na ndoa yake....mwezi wa pili hayuko nyumbani
No nadhani walifanya vizuri kutomponda mawe manake wangekichafua chama chetu cha maendeleo na mapambano na mafisadi. Hakuna mawe mazuri kama kuwapiga chini siku ya kupiga kura!
Huyu atakuwa na matatizo na ndoa yake....mwezi wa pili hayuko nyumbani
Jamani Kwani Malaya Mpaka Atembee na Mume wa Mtu Tu?... Babu aliniambia Malaya ni Mtu asiyelala Kitanda Kimoja na Mume au Mke wake kwa zaidi ya siku kadhaa
Huyu atakuwa na matatizo na ndoa yake....mwezi wa pili hayuko nyumbani