RAHA KAMILI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 203
- 83
Mama Shekha Nasser aliamua kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kula mlo wa jioni pamoja na wafanyakazi wake wote wakiwa na washiriki wa Manjano Dream-makers. Ikiwa ni utamaduni wa kampuni yake kufanya sherehe ya kuuaga mwaka alitumia kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na wanawake Wajasiriamali wa Taasisi yake aliyoianzisha ya Manjano Foundation ambayo amewawezesha kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali na pia kuwafundisha ulimbwende pamoja na kuwakopesha mitaji ya bidhaa za vipodozi vya LuvTouch Manjano kufanya Biashara hasa kwa Kutumia Vipodozi hivyo pendwa Tanzania. Mama Shekha amewashukuru sana na amewaasa wanawake hao kupambana zaidi kila kukicha kwa lengo la kila mwanamke kufikia malengo aliyojiwekea kuwa mfanyabiashara wa kujitegemea.
Mama Skekha Nassea Katika Picha ya Pamoja na wateja waliomtembelea Kupata Huduma Mbalimbali .