Makazi yake yalikuwa Kurasini, Dar es Salaam. Jameni majirani mlio humu tujuzeni huyu mama yuko wapi???? Au kapewa mtaji aende Nigeria???? Hakuna hata anayewasiliana naye jamani tujue alipo??? Nimemiss mafunzo yake kwa jamii. Pengine ana barua ya onyo na measures if act against, so kwa maisha yake akaamua kukaa kimya??? But I believe yuko mzima hajafa kama kina Horace Kolimba, Daudi Balali, Dr. Fupi, Amran Kombe, you name all!!!