P Paf JF-Expert Member Joined May 25, 2021 Posts 1,703 Reaction score 3,307 Jun 24, 2021 #1 Mh Rais tuundie TUME HURU itakayochunguza uhalali wa nyaraka za baadhi ya wabunge. Kodi zetu zinawalipa wa bunge feki,kama vipi basi turudishe kodi ya kuku na mbwa ili kupanua wigo wa kodi zakuwalipa wa bunge feki.
Mh Rais tuundie TUME HURU itakayochunguza uhalali wa nyaraka za baadhi ya wabunge. Kodi zetu zinawalipa wa bunge feki,kama vipi basi turudishe kodi ya kuku na mbwa ili kupanua wigo wa kodi zakuwalipa wa bunge feki.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jun 24, 2021 #2 Hapo pagumu hawezi
kigogo warioba JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 6,048 Reaction score 9,398 Jun 24, 2021 #3 Yaani unawaongelea wale kovidi kumi na tisa au.!?
GEMBESON JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 1,463 Reaction score 3,193 Jun 24, 2021 #4 Tume ikiundwa na Rais kutakuwa na utofauti gani na Tume ya Nec inayoteuliwa na Rais?. Mimi naona itakuwa inatekeleza maagizo yaleyale kutoka kwa aliyewateua.
Tume ikiundwa na Rais kutakuwa na utofauti gani na Tume ya Nec inayoteuliwa na Rais?. Mimi naona itakuwa inatekeleza maagizo yaleyale kutoka kwa aliyewateua.
SN.BARRY JF-Expert Member Joined Oct 12, 2012 Posts 4,038 Reaction score 8,929 Jun 24, 2021 #5 Hayo tuyaache. Hata mama mwenyewe hakushinda kihalali. Kura milioni kumi na mbili ziliandaliwa na Mr. Mimeno/Mahera na Mzee kipara/jaji Kaijage. Mwendakuzimu alibaka uchaguzi wote halafu Mungu alivyo fundi....
Hayo tuyaache. Hata mama mwenyewe hakushinda kihalali. Kura milioni kumi na mbili ziliandaliwa na Mr. Mimeno/Mahera na Mzee kipara/jaji Kaijage. Mwendakuzimu alibaka uchaguzi wote halafu Mungu alivyo fundi....