Nimeona comment huku kuwa vichwa vya trenI vipya vitakuwa tayari 2023, hivyo tutaanza na vilivyotumika kwanza.
Hii reli tumejenga miaka mitano kwa pesa ndefu kusubiri mwaka mmoja sio shida mama, haya magari used yanatutoa jasho, sembusee trenI? Kitu kipya kina raha yake. Mama isitoshe 2023 hiyo reli hata gairo itakuwa haijafika tuvute subira tu, yakija iwe imefika angalau dodoma,
Kama behewa kukuu tunazo mama nazo kilasiku zinachochora, mama zikija kukuu kesho tu watakuambia bearing zimeisha, mara upepo wa break hamna taa haziwaki.
Kuna jamaa yangu alinunua marcopolo used kutoka spain, kiilasiku yuko gereji, mwishowe aliwazawadia biashara United, nao limewashinda wame li ground,
Hii reli tumejenga miaka mitano kwa pesa ndefu kusubiri mwaka mmoja sio shida mama, haya magari used yanatutoa jasho, sembusee trenI? Kitu kipya kina raha yake. Mama isitoshe 2023 hiyo reli hata gairo itakuwa haijafika tuvute subira tu, yakija iwe imefika angalau dodoma,
Kama behewa kukuu tunazo mama nazo kilasiku zinachochora, mama zikija kukuu kesho tu watakuambia bearing zimeisha, mara upepo wa break hamna taa haziwaki.
Kuna jamaa yangu alinunua marcopolo used kutoka spain, kiilasiku yuko gereji, mwishowe aliwazawadia biashara United, nao limewashinda wame li ground,