Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijawahi kumkubaliMama mwanzo nilimkubali ila anaanza kunitia mashaka.
WAMEKAA UMBALI WA MITA MOJA SEMA HAWAJAVAA BARAKOAEti tunafanya mapambano ya corona
haha itachukua muda
Picha zote wamevaa ila mwisho wameona zinawabana ikabidi tu wazivue!
sasa hapo wameishajisahau wamevua barakoa zao
Mama akirudi tafadhalini akae karantini 14 days
au hata 30 days ili kujiridhisha!
Chanjo aliyopata isiwe sababu ama kigezo cha yote haya!
View attachment 1877374
Unahaki ya kuanzisha chama chako Mkuu.Hapa hamna kitu aisee!! 2025 Ccm nawaomba pitisheni mgombea mwingine kuikoa nchi .
Tanzania hatuna upinzani, kama tungekuwa na vyama vya upinzani kama nchi nyingine za Africa 2025 ulikuwa mwaka wa kuchukua nchi ila kwa waganga njaa, watafuta kiki , wanamihemuko na upinzani usio na agenda wala haujui unasimamia nini kama wa Tanzania hata ashuke malaika toka mbinguni hawawezi kuchukua nchi!
Mapimbi, ndezi , nyumbu sana hawa wapinzani njaa wa Tanzania.
Unahaki ya kuanzisha chama chako Mkuu.
Kama sio mwanasiasa imekuaje umeichambua siasa kwa kina sana! Yaani umeweza mpaka kujua akili za wanasiasa wapinzani.. Kiaje?Kila mtu ni mwanasiasa au lazima anzishe chama chake ?
WamechanjwaEti tunafanya mapambano ya corona
haha itachukua muda
Picha zote wamevaa ila mwisho wameona zinawabana ikabidi tu wazivue!
sasa hapo wameishajisahau wamevua barakoa zao
Mama akirudi tafadhalini akae karantini 14 days
au hata 30 days ili kujiridhisha!
Chanjo aliyopata isiwe sababu ama kigezo cha yote haya!
View attachment 1877374