Mama usikae sana huko

Mr Putin

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2019
Posts
515
Reaction score
520
Kaingia kigali



















 

Attachments

  • twitter_20210802_173332.mp4
    2.8 MB
  • twitter_20210802_135933.mp4
    26.8 MB
Hamjamwambia magari ya fire hayajazima moto kule morogoro, jiji la Dar liko gizani?
 
Eti tunafanya mapambano ya corona
haha itachukua muda
Picha zote wamevaa ila mwisho wameona zinawabana ikabidi tu wazivue!
sasa hapo wameishajisahau wamevua barakoa zao
Mama akirudi tafadhalini akae karantini 14 days
au hata 30 days ili kujiridhisha!
Chanjo aliyopata isiwe sababu ama kigezo cha yote haya!
 
WAMEKAA UMBALI WA MITA MOJA SEMA HAWAJAVAA BARAKOA
 
Hapa hamna kitu aisee!! 2025 Ccm nawaomba pitisheni mgombea mwingine kuikoa nchi .

Tanzania hatuna upinzani, kama tungekuwa na vyama vya upinzani kama nchi nyingine za Africa 2025 ulikuwa mwaka wa kuchukua nchi ila kwa waganga njaa, watafuta kiki , wanamihemuko na upinzani usio na agenda wala haujui unasimamia nini kama wa Tanzania hata ashuke malaika toka mbinguni hawawezi kuchukua nchi!

Mapimbi, ndezi , nyumbu sana hawa wapinzani njaa wa Tanzania.
 
Unahaki ya kuanzisha chama chako Mkuu.
 
Wamechanjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…